AbaMukulu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 2,053
- 3,586
Bei ya raw tanzanite ni sh ngapi mkuu??Kapigwa Sana.. kilo 9 billion 7??? Labda sio Tanzanite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei ya raw tanzanite ni sh ngapi mkuu??Kapigwa Sana.. kilo 9 billion 7??? Labda sio Tanzanite
Shida iliyopa arusha wanunuzi wote wa kihindi wameondoka ndio wangelipa pesa kufuru,wameondoka na bei imeporomoka sana toka gram 1.2m mwaka jana mwezi huu,Hata yule aliyepiga almasi shinyanga angeenda uza Belgium angepata pesa ndefu zaidi...
Any way waridhike na walichopata
Ova
Mambo kama Bongo Star SearchHiyo hela atapewa au ndio ile tanzania kwanza
Tunaongea kuhusu bilioni pesa ya madafu au ya dola ya marekani?
Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo wizara inamtabua mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite, Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8.
Mchimbaji huyo amepata mawe hayo mawili ambapo moja lina kilo 9.2 ambalo thamani yake ni shilingi bilioni 4.5 na la pili lina kilo 5.8 lenye thamani shilingi bilioni 3.3.
“Na utofauti wake ni kwamba mawe ya uzito huo hayajawahi kupatikana kwenye machimbo ya Tanzanite tangu machimbo yaanze na yamepatikana ndani ya ukuta wa Mirereni kwahiyo hii ni rekodi mpya ya kupata mawe yenye uzito huo,” amesema Prof. Msanjila.
Profesa Msanjila amesema kuwa sekta ya madini inauwezo wa kumfanya mtu kuwa bilionea kwa haraka, ameongeza kuwa kunahitaji kuwa uwekezaji wa dhati katika sekta hiyo.
Mbona ni wiki tatu toka jiwe limetoka na taarifa ziko mjini mzima,mererani mgodi ukitoa mawe taarifa inasambaa koteSema serikali Sahv inakutangazaaa
Ova
Hivi mengi Matunda bado yuko huko mereraniShida iliyopa arusha wanunuzi wote wa kihindi wameondoka ndio wangelipa pesa kufuru,wameondoka na bei imeporomoka sana toka gram 1.2m mwaka jana mwezi huu,
Sasa hivi gram ni laki 5 mpka 4 jiwe zuri
Hiyo sio tanzanite utakua umeona cheap gemstones ziko sehemu nyingi sanaKumbe ndio Tanzanite ilivyo. Kijijini kwetu ndani ndani huko nilishawahi ona mawe ya namna hii mahali fulani..
Na hadi hivyi sasa sijaona mtu akijihusisha kuchimba haya mawe, Mungu akinijalia mwezi ujao nitafika kuyahakiki...
Matunda yuko anachimba block D na karo kabla hujafikia mgodi wa mengiHivi mengi Matunda bado yuko huko mererani
Ova
Huyu anasema iolite watu wengi wanapigwa kama tz ila Wale mazombieeee.... Kna Ile iolite ya babati ukiwa bwege utalijua ni tzHiyo sio tanzanite utakua umeona cheap gemstones ziko sehemu nyingi sana
Cheapstone zimejaa manyara yote plus morogoro,mawe yanauzwa kwa ujazo wa loriHuyu anasema iolite watu wengi wanapigwa kama tz ila Wale mazombieeee.... Kna Ile iolite ya babati ukiwa bwege utalijua ni tz
Ova
Ah jamaa low profile kna wakati yuko kwenye ruby mahenge alipiga b3 kitamboooMatunda yuko anachimba block D na karo kabla hujafikia mgodi wa mengi
Kapigwa Sana.. kilo 9 billion 7??? Labda sio Tanzanite
Hahahaha huko mm si ndy napo piga misheeeCheapstone zimejaa manyara yote plus morogoro,mawe yanauzwa kwa ujazo wa lori
Ndani ya muda mchache basi habari inasambaa kaskazini yoteMbona ni wiki tatu toka jiwe limetoka na taarifa ziko mjini mzima,mererani mgodi ukitoa mawe taarifa inasambaa kote
Hiyo sio tanzanite utakua umeona cheap gemstones ziko sehemu nyingi sana
Mererani kuna mawe yanatoka upande wa karo yanafanana na green garnet gram huwa inauzwa 10mHahahaha huko mm si ndy napo piga misheee
Sema ndy idea nliyonayo sana ya semi precious
Ova
😁😁😁😂😂😂🤣Hongera musee.
Nishawahi yasikiaaaMererani kuna mawe yanatoka upande wa karo yanafanana na green garnet gram huwa inauzwa 10m