Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Siku ya juzi viunga vya mererani kulishuhudiwa maajabu ambayo hayajatokea kwa miaka 15

Baada ya mchimbaji mdogo anayejulikana kwa jina la Laizer kunyan kuibuka na madini ya Tanzanite yenye uzito wa Kg 15

Kwakuwa njia za kihuni za kutoroshea madini nairobi zimethibitiwa ilibidi BOT iingilie kati na kununua madini hayo kwa thamani ya Bilion 7

Hongera Magufuli uliahidi kuzalisha mabilionea ahadi zako zimeanza kutimia

Hongereni pia wana Arusha kwa kuongeza idadi ya mabilionea
Cheki ulivyo kichwa panzi!!!so unazani Magufuli ndio kaibua mabilionea wapya!! Kama hujui kitu nyamaza huyo unaemsemea Magufuli ndio kamfanya awe bilionea ni tajiri bilionea tokea enzi ya Mkapa
 
Nikiangalia structure ya hili jiwe, inawezekana alichoonesha ni sehem tu ya alichopata. Hili jiwe ni kubwa sana achunguzwe ameficha zaid ya nusu yake.
 
Hilo nlishasikia shida yake ni upatikanaji,unaanza kazi ukiwa kijana mpka unazeeka hujapata kitu.....tanzanite inapatikana kwa wingi ilimradi tu mmiliki awe ni mpambanaji na mgodi uwe wa kisasa
Kweli
Ulishe mgodi

Ova
 
Kumbe ndio Tanzanite ilivyo. Kijijini kwetu ndani ndani huko nilishawahi ona mawe ya namna hii mahali fulani..

Na hadi hivyi sasa sijaona mtu akijihusisha kuchimba haya mawe, Mungu akinijalia mwezi ujao nitafika kuyahakiki...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wahi kwani nafasi ni chache
 
Ukiangalia structure ya haya mawe, kwa uzoefu ni kuwa, bado kunamzigo mkubwa umeachwa shimoni au umeshatolewa na umefichwa.

Serikali ifanye uchunguzi mapema.
tapatalk_1592994078353.jpg
 
Ukitaja kijiji tuu watu watakwambia ni madini ya aina gani. Kuna watu wanajua kunusa kinyama. Uliyoiona sio tanzanite jombaa. Ingekuwa ni yenyewe usingekuwa unakaa unatype hapa wakati unajua ukienda sehemu fulani unakuwa bilionea.

Kijiji fulani ndani ndani huko rorya. Karibu na wanapokaa wajaluo..
 

Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo wizara inamtabua mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite, Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8.

Mchimbaji huyo amepata mawe hayo mawili ambapo moja lina kilo 9.2 ambalo thamani yake ni shilingi bilioni 4.5 na la pili lina kilo 5.8 lenye thamani shilingi bilioni 3.3.

“Na utofauti wake ni kwamba mawe ya uzito huo hayajawahi kupatikana kwenye machimbo ya Tanzanite tangu machimbo yaanze na yamepatikana ndani ya ukuta wa Mirereni kwahiyo hii ni rekodi mpya ya kupata mawe yenye uzito huo,” amesema Prof. Msanjila.

Profesa Msanjila amesema kuwa sekta ya madini inauwezo wa kumfanya mtu kuwa bilionea kwa haraka, ameongeza kuwa kunahitaji kuwa uwekezaji wa dhati katika sekta hiyo.

Serikali imenunua mawe hayo kutoka kwa mchimbaji huyo na yatawekwa katika makumbusho ya taifa
Hakuna mchimbaji apo uyo ni TISS
 
Sasa kwani shida iko wapi mkuu. Mawe kama bado yapo shimoni si ni yake atakuja tu kuyauza, serekali ifanye uchunguzi wa nini asa

Ulitaka yawe na urefu gani ndio ujue kuwa ore body imekatikia hapo?
 
Back
Top Bottom