secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua....Mungu ameshainua mtu wake.Mungu ni mwema
unakuta tu imoo.....
alafu unaweza kuta jamaa hata chechi haiendagi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua....Mungu ameshainua mtu wake.Mungu ni mwema
Hizi juhudi za serikali ya awamu ya tano kuboresha mazingira kwa wachimbaji wadogo wadogo zinaonesha mafanikio Sasa sector ya madini inakua kwa Kasi na kuongeza Pato la taifa Viva Magufulu 2020-2025
Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo wizara inamtabua mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite, Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8.
Mchimbaji huyo amepata mawe hayo mawili ambapo moja lina kilo 9.2 ambalo thamani yake ni shilingi bilioni 4.5 na la pili lina kilo 5.8 lenye thamani shilingi bilioni 3.3.
“Na utofauti wake ni kwamba mawe ya uzito huo hayajawahi kupatikana kwenye machimbo ya Tanzanite tangu machimbo yaanze na yamepatikana ndani ya ukuta wa Mirereni kwahiyo hii ni rekodi mpya ya kupata mawe yenye uzito huo,” amesema Prof. Msanjila.
Profesa Msanjila amesema kuwa sekta ya madini inauwezo wa kumfanya mtu kuwa bilionea kwa haraka, ameongeza kuwa kunahitaji kuwa uwekezaji wa dhati katika sekta hiyo.
Serikali imenunua mawe hayo kutoka kwa mchimbaji huyo na yatawekwa katika makumbusho ya taifa
Siku ya juzi viunga vya mererani kulishuhudiwa maajabu ambayo hayajatokea kwa miaka 15
Baada ya mchimbaji mdogo anayejulikana kwa jina la Laizer kunyan kuibuka na madini ya Tanzanite yenye uzito wa Kg 15
Kwakuwa njia za kihuni za kutoroshea madini nairobi zimethibitiwa ilibidi BOT iingilie kati na kununua madini hayo kwa thamani ya Bilion 7
Hongera Magufuli uliahidi kuzalisha mabilionea ahadi zako zimeanza kutimia
Hongereni pia wana Arusha kwa kuongeza idadi ya mabilionea
Asikariii!!!!! Ata jwe/ bashiiMhhh
Mjaluo ayaache tu hivi hivi..lolKijiji fulani ndani ndani huko rorya. Karibu na wanapokaa wajaluo..
Kwa uzito wa mawe hayo kulipwa 7.7 Billion bado kapunjwa kodogo, mi nilitaka kumpa 10 Billion ambapo London stock market wali pledge kunilipa 15 Billion
Ungezipata Charokee Uwoya na manzi wa ndoto wako wote ungeenda eeeh 😀😀😀😀Ni Jambo zuri Ila Sasa wasimfilisi tu maana binadamu hawana wema
Kongele kwa mzee laizer
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani anachota kuelezea Prof. Msanjila ni kwamba kama huo ukuta usingekuwepo, uwezekano wa hayo mawe kupitishwa na kuuzwa kinyamela na kwa magendo ulikuwa mkubwa sana na hivyo kuikosesha nchi kodi husika na hivi sasa sifa kuwa mawe makubwa kama hayo yanapatikana MERERANI NCHINI TANZANIA SIYO INDIA AU AFRIKA YA KUSINI kama ilivyokuwa hapo nyuma.Hahahaa hapa ndio kwenye msingi wa habari nzima, kutaka kuleta mantiki kuwa ukuta wa mirerani umekua wa faid, kwahio huo ukuta uko hadi chini kabisa huku alikokuta huo mzigo?
Mungu ni wa wote.wanaomjua na wasiomjua MunguMungu akitaka kukupa hakuandikii barua....
unakuta tu imoo.....
alafu unaweza kuta jamaa hata chechi haiendagi.....
Sasa nashauri Serikali kupitia Wizara ya Madini na Kituo cha Uwekezaji wamsaidie huyu Bilionea mpya kuiwekeza hiyo bilioni saba ili izae Zaidi na izalishe ajira kwa wana Mererani na Simanjiro kwa faida ya Tanzania yetu au siyo wana JF?Mungu ameshainua mtu wake.Mungu ni mwema
Sawa kabisaMungu ni wa wote.wanaomjua na wasiomjua Mungu
Kitakachomtafuna huyo bilionea ni umasikini wa akili!
mzee una uzoefu hapo mererani.nataka nije kutaliiNi kishauri kitukimoja,kama haumjui mtu..funga doma achakuropoka..huyo ni tajiri muda mrefu sana..hapa mererani anashimo analohudumia zaidi ya miaka 10,na anawahudumia wafanyakazi 400,usilete akili zako za madaftari then unakuja kujaji watu wengine
hahaaa[emoji2][emoji2][emoji2]Sasa nashauri Serikali kupitia Wizara ya Madini na Kituo cha Uwekezaji wamsaidie huyu Bilionea mpya kuiwekeza hiyo bilioni saba ili izae Zaidi na izalishe ajira kwa wana Mererani na Simanjiro kwa faida ya Tanzania yetu au siyo wana JF?