Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Mkuu kwa uelewa wangu sidhani kama itakuwa cheap germstome. Ipo ndani ya eneo letu porini huko kanda ya ziwa.

Nikifika nitakutumia picha kwanza uhakiki
Niamini mkuu kanda yote ya ziwa kuanzia singida hakuna gemstone za ghali, hizo ni cheap stone. Gemstone zenye bei ziko tatu tu, inaanza spinal iko moro, inakuja green garnet halafu Tanzanite
 
Mkuu kwa uelewa wangu sidhani kama itakuwa cheap germstome. Ipo ndani ya eneo letu porini huko kanda ya ziwa.

Nikifika nitakutumia picha kwanza uhakiki
Ukitaja kijiji tuu watu watakwambia ni madini ya aina gani. Kuna watu wanajua kunusa kinyama. Uliyoiona sio tanzanite jombaa. Ingekuwa ni yenyewe usingekuwa unakaa unatype hapa wakati unajua ukienda sehemu fulani unakuwa bilionea.
 
Niamini mkuu kanda yote ya ziwa kuanzia singida hakuna gemstone za ghali,hizo ni cheap stone. Gemstone zenye bei ziko tatu tu, inaanza spinal iko moro, inakuja green garnet halafu tanzanite
Babu kna wakati tulikuwa tunduru ila kitambo sana, Kna jiwe linaitwa alexandrite ni balaaaa, sema Tunduru ilishakufaaa.

Ova
 
Ukitaja kijiji tuu watu watakwambia ni madini ya aina gani.
Kuna watu wanajua kunusa kinyama.
Uliyoiona sio tanzanite jombaa.
Ingekuwa ni yenyewe usingekuwa unakaa unatype hapa wakati unajua ukienda sehem fulani unakuwa bilionea
Wanaogundua madini wengi wao ni wakata mbao na wakulima Sema hawajuagi. Wanaosanuka ni wengine. Ushahidi nnao winza mpwapwa ilivyofumukaga kipindi kile.

Ova
 
Hizo ni story kua kawe bilionea,wakti hizo pesa kashika zaidi ya hizo miaka 7 imepita..laizer ni billionea kitambo pia hiyo pesa anabaki na nusu mana kuna mdhamini aliekua anahudumia anachukua chake
Ndio ndio watu wanaongea utazani Laizer ni limbukeni wa pesa!huyo ni bilionea tokea zamani alishatoa mawe sana tu.
 
Babu kna wakati tulikuwa tunduru ila kitambo sana
Kna jiwe linaitwa alexandrite ni balaaaa. Sema Tunduru ilishakufaaa.

Ova
Hilo nlishasikia shida yake ni upatikanaji,unaanza kazi ukiwa kijana mpka unazeeka hujapata kitu. Tanzanite inapatikana kwa wingi ilimradi tu mmiliki awe ni mpambanaji na mgodi uwe wa kisasa.
 
Njoo Mbuguni basi tupate mgao huu[emoji7]..Alafu tukitoka huku tuelekee kwa Moromboo tukale nyama.
Hahhahaah babes huyu si nduguyo kabisa huyu jamani.. Tuandae matumbo basi nyama ya kwa Mrombooo itukomee
 
Mwaka jana alinunua lift za mall yake 1.6bn china lift 2 na ngazi za umeme 4,halafu unasema anaenda kua bilionea[emoji16][emoji16]
Tatizo watu hawamjui na ukimuangalia jinsi alivyo wanamuona limbukeni wakati ni bilionea miaka mingi tu na asset za kutosha,ile mall tu anayoimalizia sakina pale inamdhihirishia kua ni bilionea.
 
Hii ni kithibitisho Tosha kwamba ukikomaa na unachokiamini na kufanya bila kukata tamaa hakika utatusua pakubwa sana

Nasikia kwa Miaka 17 hajawai chomoka hata jiwe la milioni moja

Safi sana vijana komaeni na ndoto zenu achaneni ma kelele za JF keyboard warriors

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kashika hela toka 2010 billiones,huo mgodi alikua share na wachina
 
Back
Top Bottom