Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ya kiChina kivipi? Sema original toka China ni mil 32 na original toka Japan ni mil 96.
Nyie vipi bhana?
Lift mpaka wakomeeehapo unakamata land wind yako matata halafu unachonga maneno ya Range Rover unapachika unaanza chapa bakora mtaani
Huyu jamaa ana documentaries zinazoonyesha maisha yake. Kama zipo tuwekeee tumcheki uwezo wakeDeng Xiaoping ndo shikamoo zaidi. Huyu bwana ndiye aliyeleta fikra mpya kwa wachina. Pamoja na nia njema ya Mao Zedong, fikra zake zilikua mgando. Deng kwa kuwa aliwahi kuishi Europe, akachukua falsafa za Ulaya akaziharmonize kuendana na sera zao za Kisoshalist. Hivyo akaruhusu uwekezaji, huyu ndiye aliyesababisha Wachina kutoka na kujifunza Technolojia nje ya China. Kwa kifupi huyu ndiye MZEE RUKSA wa TAIFA LA CHINA!
haaahahahahahahahahahahahahahaaaaaaa naipenda jf siondokiteh bado boeng za kichina mtafurah huko angan ni mwendo wa kupotea tu
mchina nyoko!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]teh bado boeng za kichina mtafurah huko angan ni mwendo wa kupotea tu
Land Rover-Land windPrado-PARDO
SAMSUNG-SINGSUNG
Nokia-Nokla
Adidas-Adibas
Toyota-Tayota
Land cruiser-cruiserland
Yeezy - yeazy
ongezea
.............................
sio kwelii ingekua inatokea hivyo kwenye magari kama yutong higer zungtong na mabas mengine ya kichina ambayo sasa ni usafiri mkubwa kwa safari za mbali na ni comftableMchina anamaana basi, hapo unaweza ukaitandika speed hiyo land wind halafu ghafla tairi yako ya nyuma ukaiona imekutangulia mbele.
Tupotee mara ngapi sasa wakati Wind on freeksteh bado boeng za kichina mtafurah huko angan ni mwendo wa kupotea tu
Mkuu we unatokea mkoa gani?Dah mi sijabahatika kupanda basi la namna hio mkuu, natamani kweli yani niligumie kila nalopanda chenga!