Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja

Pamoja na uadui wa miaka mingi usa vs Russia, USA ndege zake za kivita na space shuttle, engine huwa anaagiza urusi[emoji4]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwamba ndege za kivita Mmarekani anaagiza engine zake Urusi? Sidhani. Hata Space Shuttle I doubt. Labda Satellite za uchunguzi na mawasiliano toka angani. Miaka mingi ilitumiwa Space Station ya Mrusi na karibia mataufa yote makubwa
 
We jamaa ukikurupuka unaandikaga makande sana aisee.

Sasa bro unayazalau makande wakati ndiyo yaliyo tukuza sisi. Halafu wote waliokulia makande hawahitaji vitangulizi kabla ya shoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…