Ubaya wa gari ya umeme inapungua ufanisi kadri inavyozidi kutumika. Ukinunua gari ya umeme kama ilikuwa inaenda kilometre 400 ndio uchaji ikiwa mpya basi utapoinunua used itakuwa imepungua labda inaenda kilometre 200 kabla ya chaji kuisha.Au labda tusubirie mpaka yaanze kuuzwa used ndio bei zitakua rafiki
Dah kitu kiko mbugani kabisaView attachment 2740524
Mchina anatengeneza tayari, ila bei yake sio rafiki bado kwa wengi! Ila kuna watanzania wenyetu wanazo, mfano hiyo hapo juu Li L9.
Wapuuzi sana TRA yani gari za umeme wenzetu tozo ni kidogo mno ili ku encourage watu wazinunue kwa wingi wao wanakazania mabei juu. Huu upuuzi haukubalikiAisee nimeshangaa kuona TRA hata kwa gari za umeme kodi bado iko juu balaa! Nimejaribu kuangalia Nissan Leaf (electric) ya mwaka 2012 gari inauzwa 4.5m ila kodi yake ni 9m!
Pole ni Jambo la kisayansi kaka lazima iwe lithium ni kama kusema kama China haiwezi zalisha wali sababu ya uchache wa mpunga basi watengeneze wali wa mahindiHiyo lithium haina mbadala? Sisi tunachotaka ni gari la umeme hata kama litatumia betri za kawaida mradi litembee. Na liwe linachajiwa kwa chaja za kawaida kama za simu mtu ukiwa nyumbani, ofisini, bar nk unapachika kwenye chaji!
BYDView attachment 2740577
NioView attachment 2740578
XpengView attachment 2740579
Li autoView attachment 2740583
HongqiView attachment 2740587
SAIC motorView attachment 2740588
Yutong
View attachment 2740590
FAW
View attachment 2740593
Yapo makampuni mengi sana ya EV China zaidi ya 20 huko mengine yana zaliwa mengine yana kufa kutokana na ushindani mkubwa uliopo nchini kwao hayo ni machache tu nimekuwekea.
Pesa yako tu mwanangu unachukua mzigo wowote wa kichina wa EV unaotaka
Ni huzuni sanaaaKenya mpaka july mwaka huu kuna jumla ya gari za umeme zilizosajiliwa 5000+,na pikipiki ndo balaa zaidi.
Tanzania bado tunajivuta saana,na nadhan mpaka sasa kuna kituo kimoja pekee za kuchajia gari za umeme ,kipo Dodoma.
View attachment 2741065
Wanaona wakipunguza kodi magari ya umeme yakafurika watakosa biashara kwenye ma sheli yao. Kuwapa nchi wapiga dili ni kosa kubwa sana tulifanya.Wapuuzi sana TRA yani gari za umeme wenzetu tozo ni kidogo mno ili ku encourage watu wazinunue kwa wingi wao wanakazania mabei juu. Huu upuuzi haukubaliki
Nadhani kama betri ikiisha unaweza ku replace nimeona betri za baadhi ya magari ya umeme zinauzwa.Ubaya wa gari ya umeme inapungua ufanisi kadri inavyozidi kutumika. Ukinunua gari ya umeme kama ilikuwa inaenda kilometre 400 ndio uchaji ikiwa mpya basi utapoinunua used itakuwa imepungua labda inaenda kilometre 200 kabla ya chaji kuisha.
Hii ni tofauti na conventional cars za fossil fuels. Ambapo hata likiwa limetumika ufanisi unakuwa upo zaidi ya 80% na yanadumu muda mrefu sana.
Afadhali wewe umesema Ndugu yangu.Mbona China ndio inaongoza kwenye utengenezaji wa magari ya umeme?
Tatizo hayaji huku kutokana na bei
Ntajie iyo kam puni ya mchina nayo ongoza kuuza kima taifa mkuu?Inawezekana maana kwenye masoko ya kimataifa China inaongoza kwa kuuza magari ya umeme. Pia kwenye utengenezaji China inang'aa
Ndo lina ongoza kwa mauzo kwenye soko la kimataifa?Chuma moja wapo ni hii hapa Hongqi E-HS9View attachment 2740498
So unatoa milion 11 kununu icho kigar mkuuChina inaongoza Kwa kutengeneza gari za umeme duniani na kampuni ya BYD ya china imeipita Tesla Kwa kuuza gari za umeme.
BYD ana Faida ya kuwa mtengenezaji WA betri vilevile, mwaka huu china pia imeipita Japan Kwa uzalishaji na uuzaji WA Nagari sababu kubwa ni kukuwa Kwa uhitaji WA gari za umeme.
Mbali na BYD kuna kampuni nyingi za gari za umeme za bei nafuu zipo nyingi mpaka Alibaba zimejaa Kule.
Kuna hii gari inaitwa Wuling Hongguang Mini EV
Inauzwa USD 4500 sawa na milioni 11.2
Alibaba kuna mpaka vya Dola 800 na zingine za Dola 3500
Cheap Electric Car China Trade,Buy China Direct From Cheap Electric Car Factories at Alibaba.com
Masudi kipanya alisema gari yake ya umeme ikiingia sokoni rasmi itauzwa Kwa milioni Tisa. Tuombe afanikiwe.
China hajazubaa na analichangamkia soko la ev Kwa msaada pia WA ruzuku ya serikali
Tanzania gari la umeme litahimili mgao wa umeme? Si utakuwa unalipaki kila siku ukitilia maanani kuwa huwezi kuchaji na umeme wa kawaida wa nyumbani?Ziko mapaka bajaji za solar zimejaa, shida kubwa nchi yetu hawaweki sera kuondoa ushuru au kupunguza kwa kiasi kikubwa gari za umeme au bajaji za solar ilikuhamasisha watu kuagiza kwa wingi. Fursa zipo.
Dogo huna akiliunaonesha ushamba wako..hujui hata Dunia inatokea wap inaelekea wap..hao wachina hakuna technology yeyote waliwai buni zaidi ya kusubir zilizobuniwa na wazungu na wao kukopy...
Matako kwako ni kichwa hapa unatapika vinyesi tuusichoelewa ni kwamba hvyo viwanda hapo china vinamilikiwa na wamarekani kama wawekezaji na Siri ya hyo technology wanayo wao..china wanatumika kama cheap labour na source ya malighafi kwenye hvo viwanda...wao kama wao wachina hawana hyo technology ya magari hayo...bado ipo chini ya wamarekani mpaka watapoamua kuweka wazi..
hahahahaha daaaah! Apana, JF sitokiYes hayo ni Maoni yako.
Lakini wao soko lao halikulengi wewe mwenye pesa kidogo... ukitaka gari la hivyo nenda kwa Masoud Kipanya, anatengeneza gari za hivyo. Muunge mtanzania mwenzetu.
Tengeneza wewe tuoneLakini mkuu kwani gari la umeme lina nini cha ajabu, si betri tu na mota?