Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Alichokipata ndio alichokitafuta.Wacha haya mawazo ya kijima, katafuta nini wakati huo ni uhuru wake wa kutoa maoni.
Amemsema vibaya mzee wa Msoga,rais kivuli,nafuu umuchore vibaya JPM Kama kipanya alivyomchora anabakuli la damu.kwani kuna kitu gani kibaya alicho chora hapo ?
Ina Nini kibaya hebu dadavua.Uhuru wa maoni?acha unaaa sio kwa picha hii
You must be wrong in order to be right so All is upon you.Kwa nini tukiwachora upinzani with direct punch hakuna kushughulikiwa?
Hata sisi tunastuka sasa. Kutumika kukandamiza upande mmoja HATUTAKI.
Tutaendelea kubalansi katuni zetu
Jokofu Kiwete friji bovu.
Kuna walimchora akiwa anaipiga marungu picha ya harusi yake aki-shout kwa mke wake kwamba "nimesema sitaki katuni humu ndani"Inanikumbusha zamani kidogo kuna waziri mmoja akiitwa Nyanda......naye alijaribu sana "kupambana" na wachora katuni bila mafanikio.
Ngoja tuone.....ni ugaidi, uhujumu uchumi ama nini!
It's not fair kupangiana Cha kufikiria hicho ilikuwa opinions zaoKosa kwanini hakuchora katuni za watoto? Watoto wa Ostabei wamemshitaki polisi.
Sasa ndio tutajua kama hawa ni wanademokrasia ama magumashi.....Sijaona kosa hapo huo ni mtazamo wake tu mbona
Tate Mkuu 👣👣👣👣Ni kazi ngumu sana na isiyo wezekana kabisa kuwaziba midomo watu wazima na akili zao!
Hayo ni maoni au matusi?Huo ni mwanzo tu wapo wengine watakao kamatwa...
Kwanini wazuie huru wa kutoa maoni.
Ni kazi ngumu sana na isiyo wezekana kabisa kuwaziba midomo watu wazima na akili zao!
Kipanya mdini sana yule,nilisha mdharau😂😂😂Amemsema vibaya mzee wa Msoga,rais kivuli,nafuu umuchore vibaya JPM Kama kipanya alivyomchora anabakuli la damu.