Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao

Au ujifanye shujaa na kusema wewe bingwa umeiondoa Covid kwa maombi ya siku 3..mwisho wa siku tunakuzika wewe na wasaidizi wako
"...one of his security guy...the darkest one...died due to covid..." Tundu Antipas Lissu (former opposition party president candidate)
 
Sasa kwa hiyo Cartoon unaweza kuthibitisha makosa yake?
Acha kupaza sauti kwenye mambo usiyoyajua utachekwa kukusaidia google torn inayoitwa " innuendo " isome kwa makini elements zake ukishaelewa uwaelimishe na vilaza wenzako
 
Mimi ni Muumini wa uhuru wa kutoa maoni ila na huwa naamini ya kuwa kila afanyae jambo basi pia yupo tayari kwa matokeo hasi au chanya.
 
Kipanya katuni zake huwa hazipo straight kama huyu, Masudi anaficha maana sana ukiigundua unakua genius, sasa huyu ndugu anafungua code zote msomaji hapati tabu kufafanua

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna lolote umeona katuni ya Kipanya ya hivi majuzi? je inahitaji code? ni kama vile kuna kuchagua nani wa kumkamata.
 
Acha kupaza sauti kwenye mambo usiyoyajua utachekwa kukusaidia google torn inayoitwa " innuendo " isome kwa makini elements zake ukishaelewa uwaelimishe na vilaza wenzako
Hebu tuelezee hiyo katuni ina maana gani
 
Wanaounga mkono huu upuuzi ni mateja wa madaraka.

CCM ni chama changu, lakini moyo unaniuma namna tunavyofanya siasa uchwara
 
Tuone watatumia kisingizio gani kumshikilia.
 
Mheshimiwa Oppter kazi yako ni nzuri sana.Mungu akubariki sana.

View attachment 1960333
Tuliwaambia mlio sema magufuli ni dictator [emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa mtajua kuwa kuna dictator mwenye akili na dictator mpumbavu hao ni vitu viwili tofauti kabisa ,sasa sijui wapinzani mtakwenda kushitaki wapi maana sifa ya madictator wapumbavu ni kuuza nchi kwa manufaa ya watu weupe hivyo wanapendwa na mabeberu tofauti na JPM alikuwa dictator wa kupigania nchi dhidi ya mabeberu
 
CCM haijawahi kuwa na la maana.Adui yetu ni CCM wala siyo mtu fulani ndani ya CCM.
 
Alitumia njia nyepesi sana kufikisha ujumbe inabidi apate shule kwa Kipanya. Jamaa anachora katuni very intriguing and intricate with lots of confusions.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…