TANZIA Mchoraji wa katuni ya Mohammad (Lars vilks) afariki dunia kwa ajali ya gari

TANZIA Mchoraji wa katuni ya Mohammad (Lars vilks) afariki dunia kwa ajali ya gari

Issue ya Mungu tuko pamoja, hakuna cha Mungu hapa maana kuna attrocities nyingi zimefanywa na watawala kama magufuli, lkn walidumu duniani miaka mingi sana eg Idd Amin to mention one, but there is a multitude of them; mbona hao Mungu hakuwaangamiza> After all I do question the existence of God anyaway!

Issue two with regard to corona, I beg to differ for the following reasons:
1. Magufuli downplayed the consequences of corona, he even dared to "provoke" corona virus that it is like hydrogenated cooking oil and therefore vulnerable to melt... ie once subjected to natural concoctions like Kikomba cha babu, including "KUJIFUKIZA" corona was susceptible to heat, labile and therefore easily killed. That was quite unscientific, a real downplay!
2. He did not take any approved measures (such as wearing face masks, hand wash (though I was not in his vicinity), ignoring unnecessary gatherings, and the like) to protect himself from infection. THEREFORE THERE IS A GREAT POSSIBILITY THAT HE GOT INFECTED AND DIED OF CORONA ......
Issue ya corona kwa Magufuli tatizo zinatumika hisia hakuna hata dalili au ishara yeyote yenye kufanya tuseme labda itakuwa corona matokeo yake zinatajwa sababu za kudharau corona kitu ambacho huku mitaani hao wanaodharau corona wamejaa kibao ila wapo hai hadi na hawajawahi hata kuumwa hiyo corona, kwahiyo ndio yaleyale tu. Kuna muda watu walisema kachanja chanjo ya wachina kisirisiri na wakati mwengine walisema hadi kwamba alikuwa anakimbia Corona kwa kwenda kujificha Chato, kwahiyo utaona watu walianza muda tu kuzua mambo.
 
Ajali za moto zipo popote, tuache kujengea watu hofu za uongo.
Mitume hawadhihakiwi bro_je hukuona kilichomkuta firaun kwa kumpinga mussa? Hukuona kilichomkuta Nemrod?
Je huwaoni kilichowakuta wayahudi kuwapinga mitume?
Je Mke wa Luty kilimkuta kipi?
 
Naulinzi wote lakini unaishia kifo cha aibu.
Tujitahidi kuishi maisha ya kawaida, usipende kuwaudhi binadamu wenzako.
Kuna msemo unasema mate ya watu siyo mazuri.
 
Back
Top Bottom