Mchumba anatoa mashuzi mno!


[emoji1787][emoji1787] bora huyo. Mimi nilikuwa na mpenzi akifika kileleni lazima ajambe [emoji1][emoji31]. Nilichoka mimi.
 
Huo ushizi unanuka? Tuanzie hapo kwanza
 
Ni aina ya starehe sawa na kupumua
 
Kuna mke, hawara, na malaya...huyu aloleta uzi huu sijui atakuwa yupi kati ya hao
 
We bado Mdogo.
K Yake ndio itakuwa inatoa hizo sauti, mwanaume rijali tunapenda hizo sauti.
Kama humpendi muache huyo Dada usije ukamuoa ukaanza kumtesa
 
Ipo shida hapo. Huenda wababe washasepa na marinda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…