Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa inawaka?Mnaweza kuanzisha kampuni ya gesi mkajikwamua kimaisha
Siasa mbaya sana
Hahahaha Mkuu unamaanisha zile underwear zenye Chacoal pad ama wanaita Fart smelling filter pad.Nimecheka sana..
Mkuu mnakulaga vyakula gani mara kwa mara?
Flatulence pia ina tiba,if you got balls nenda kamnunule umpe
kiyusuf ndgMkuu hayo mashuz ni ya kiyusuuuuf au radi tu bila harufu
dah, we dada umenichekesha sana aisee!!Mkuu too much ukitoka nje ukirudi ndani ushuzi ukikaa hujakaa sawa ushuzi...umeinama uvunguni kidgo uvute kitu ukiinuka ushuzi...khaa nkajisemea Hapana huyu mtu sio bure mwache aende tu....
shukrani snMkuu ilo tatizo lako ni dogo sana ambalo mwenzio anatoa hewa chafu wakati mmelala.... Ina maana na wewe pia una tatizo la kilosa usingizi... Nendeni wote mkamuone daktari......
Angalizo
sidhani Kama ni tatizo kubwa ndani ya ndoa yako Kuna wengine Wana tatizo la kulowesha godoro kila siku hapo si ungehama nyumba kimya kimya.. jua kutunza Siri dogo nna wasiwasi hata ukiapa kiapo Cha ndoa utatoa hizo Siri za ndani
Basi ni shida ya kwenye utumbo aende tuu hospital nadhan dawa zipoyaani karibu kila siku kiukweli.......ingawa kwa kiasi kikubwa eneo tulilopo vyakula ni vya aina moja
linafit mkeKuna mke, hawara, na malaya...huyu aloleta uzi huu sijui atakuwa yupi kati ya hao
Mimi narecommend antiflatulants kama simethicone(detergent) itapunguza hayo mashuzi ya gesi kujaa tumboniHahahaha Mkuu unamaanisha zile underwear zenye Chacoal pad ama wanaita Fart smelling filter pad.
ahsanteHio sio ishu sana,ila jua kua hata yeye lazm anafahamu Ana tatzo hlo na cku ukikaa nae kumueleza ndo utajua manake atakwambia nafahamu kuwa nina tatzo hilo
Cha kufanya kaa nae chini liongee kiume ktk namna ambayo hatojiskia vbaya then mkamchek mtaalamu wa afya basi mchezo umeisha
sijakuelewa hapa, nitafakari kuusu hilo tatizo au nitafakari kuhusu aina ya uzi niuletaoMkuu kabla ujaleta uzi tafakari
Samahanini kwa mada yenye ukakasi kiasi! ila ninashangazwa na kufadhaika!
Mchumba anatoa mashuzi mno....yaani mno! akilala kidogo tu tatizo linaanza mpaka anapoamka. unaweza kumuamsha na kuzuga kwa vistori vya hapa na pale kwa matumaini labda tatizo litaisha, lakini mkimaliza maongezi na akilala tu kazi inaanza tena hadi asubuhi.
Hili jambo linanikera kiukweli na imefikia mpaka vimaswali fulani vya kishetani visivyo vyema vinanijia kuhusu historia yake (waungwana mtakuwa mmenielewa hapa).
Naombeni ushauri wadau maana sioni kama ni sahihi kukwazana na hata kufika mbali kwa sababu yenye aibu km hii.
ANGALIZO: mi ni me na huyo mchumba ni KE
hehehe, ni kweli kiongozi......nipo hapa kuitafuta 'nitoke vp'Ajabu ni kwamba, unaweza kuta ww na yeye hamjawahi ongelea ili swala. Namaanisha hujawahi kumgusia hata mara moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
24hrs 😳😳😳Ongea naye kwa upole huenda ana tatizo tumboni, kuna binti mmoja kizungu alikuwa na tatizo hilo, yeye alikuwa anapiga 24hrs