Mchumba hahudumiwi vijana

Hebu tafuteni hela huko maana tunazisubiri.
 
Kwanza kabisa neno si mahali ni mahari pili ikiwa hukutowa mahari huyo hawi mchumba wako.

Mchumba wako anakuwa pale unapopeleka mhari kwao kumposa! Ukiwa na mwanamke mke tu hata kama unaishi nae huyu ni girlfriend/mwanamke wako tu!
 
Kwa hiyo unatowa uchi kwa sababu ya pesa? Kwani mkifanya mapenzi huwa nyie hampati raha yeyote ile? Sasa kama mnapata raha nyote wawili, nyote mnatoa uchi zenu kwa nini boyfriend wako tu ndio atowe pesa? si na wewe utowe nusu? 😉
Mwanamke ndio mwenye uchi
Nyie Ndio mna shida sie hatuna shida na vibamia vyenu 🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…