Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hilo neno huwa lina nichekesha sana Mungu nifundishe kunyamaza😅😅😅😅sitaki kuongea kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo neno huwa lina nichekesha sana Mungu nifundishe kunyamaza😅😅😅😅sitaki kuongea kabisa
Lina ka unafki ndani yakeHilo neno huwa lina nichekesha sana Mungu nifundishe kunyamaza
Kwahio we laki huitaki au jeuri ya keyboard tu.
Lina ka unafki ndani yake
Eeh wanasema kuna hekima na baraka ndani ya ukimya.🤣Haswa kwa walokole kama mimi
Hata Manara aliambiwaga hivyo hivyo 🤣🤣🤣Nyie Ndio wanaume
HakikaEeh wanasema kuna hekima na baraka ndani ya ukimya.🤣
Amina mtumishiHakika
Ngoja nikawajibike miee
Utagongwa kizembe hapo, kwa tamaa zako uishie kupewa nauli, kuwa makini.Nyie Ndio wanaume
BarikiwaAmina mtumishi
Ongeza sautiukitaka mwanamke akuzalie mtoto mzuri, muhudumie mpaka azae, maana bila hvo, hawashiki mimba hawa, akizaa mtunzee, utamuoa chap. Endelea kuhudumia. Atkua mtu bora sana kwako.
Wewe hudumia
Kimbembe kinaanzaga na NDOIGE! Huduma sio guarantee ya kuoa.😀😀anahudumia mke
Chawa wa mama huyoOngeza sauti
Kwa lift ya buku jeroHata mke utamhudumia halafu kuna bodaboda tu au kijamaa kivaa vinjunga na dread kichwani kikakugongea mkeo wa ndoa
Ndo mzuriChawa wa mama huyo
Na kutumia kipato chake alichotafuta kwa uchungu. Mbona hili hamlisemagiSimilarly kutoa chiu ni jukumu la kisheria kwa mwanamke. Maana ameolewa ili aje alale chiu na sio kubana. Na akimnyima mume wake, mume anaweza kwenda kumshtaki kwamba mke wangu hanipi huduma na hana sabbu. It works both ways.
Mimi nasupport wanaume wasihudumie wapenzi maana sio jukumu lao..tena kwa asilimia 100. Lakini na nyie wanawake msitoe hizo nyuchi maana sio kazi yako. Mambo ya kwenda kufanya usafi, sijui kupika achana na hii habari. Wewe sio mke.
Kama anataka wewe ufanye hayo, agharamike..aonekane kwa wazazi wako. Kazi ya mwanaume ni kutafuta kipato tangia mwanzo in the bible...kazi ya mwanamke ni kumsaidia mwanaume huyu ikiwemo kumzalia kwa uchungu.
Tunatakiwa kucheza humu. Majukumu ya kindoa ni baada ya agano ama kufungishwa na shehe. Its crystal clear.
Au sio , hongera zako.
Manara nawe sio wa kutoa mfano bana ana gubu kama nyie tuHata Manara aliambiwaga hivyo hivyo 🤣🤣🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 We fala kwahio me nna gubu? Mmesema ishu ni hela, alimpeleka mke mpaka burj khalifa ila wapiii😀😀😀Manara nawe sio wa kutoa mfano bana ana gubu kama nyie tu