Mchumba hahudumiwi vijana

Mchumba hahudumiwi vijana

Similarly kutoa chiu ni jukumu la kisheria kwa mwanamke. Maana ameolewa ili aje alale chiu na sio kubana. Na akimnyima mume wake, mume anaweza kwenda kumshtaki kwamba mke wangu hanipi huduma na hana sabbu. It works both ways.

Mimi nasupport wanaume wasihudumie wapenzi maana sio jukumu lao..tena kwa asilimia 100. Lakini na nyie wanawake msitoe hizo nyuchi maana sio kazi yako. Mambo ya kwenda kufanya usafi, sijui kupika achana na hii habari. Wewe sio mke.

Kama anataka wewe ufanye hayo, agharamike..aonekane kwa wazazi wako. Kazi ya mwanaume ni kutafuta kipato tangia mwanzo in the bible...kazi ya mwanamke ni kumsaidia mwanaume huyu ikiwemo kumzalia kwa uchungu.

Tunatakiwa kucheza humu. Majukumu ya kindoa ni baada ya agano ama kufungishwa na shehe. Its crystal clear.
Na kutumia kipato chake alichotafuta kwa uchungu. Mbona hili hamlisemagi
 
Back
Top Bottom