Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
NitagNo FAP analalamika hapewi mzigo na demu wake kwenye uzi uleeee 🤣🤣🤣
Ni yule aloanzisha uz wa No FAP?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NitagNo FAP analalamika hapewi mzigo na demu wake kwenye uzi uleeee 🤣🤣🤣
Watoto wa jf wahuni sana 🤣🤣🤣Nitag
Ni yule aloanzisha uz wa No FAP?
Na uzi na ufungwe umemalizaSimilarly kutoa chiu ni jukumu la kisheria kwa mwanamke. Maana ameolewa ili aje alale chiu na sio kubana. Na akimnyima mume wake, mume anaweza kwenda kumshtaki kwamba mke wangu hanipi huduma na hana sabbu. It works both ways.
Mimi nasupport wanaume wasihudumie wapenzi maana sio jukumu lao..tena kwa asilimia 100. Lakini na nyie wanawake msitoe hizo nyuchi maana sio kazi yako. Mambo ya kwenda kufanya usafi, sijui kupika achana na hii habari. Wewe sio mke.
Kama anataka wewe ufanye hayo, agharamike..aonekane kwa wazazi wako. Kazi ya mwanaume ni kutafuta kipato tangia mwanzo in the bible...kazi ya mwanamke ni kumsaidia mwanaume huyu ikiwemo kumzalia kwa uchungu.
Tunatakiwa kucheza humu. Majukumu ya kindoa ni baada ya agano ama kufungishwa na shehe. Its crystal clear.
Nitaga basi nikachekeWatoto wa jf wahuni sana 🤣🤣🤣
Ngoja niuvute ule uziiNitaga basi nikacheke
Na ukigundua hio mimba haikuwa yako utafanyaje😀ukitaka mwanamke akuzalie mtoto mzuri, muhudumie mpaka azae, maana bila hvo, hawashiki mimba hawa, akizaa mtunzee, utamuoa chap. Endelea kuhudumia. Atkua mtu bora sana kwako.
Wewe hudumia
°unataka spika Yako imwagiwe na shahawa za kitajiri?dada zako si wana midomo nenda kawamwagie hizo shahawa za kimaskini
Nyuchi zenu zipo kila sehemu haina haja ya kumuomba mchumbaMsiombe uchii
Mbona sioni kimetokea nin?nimeutafuta uz nimeona No FapNa ukigundua hio mimba haikuwa yako utafanyaje😀
Sijakuelewa blaza....Na kutumia kipato chake alichotafuta kwa uchungu. Mbona hili hamlisemagi
🤣🤣🤣 Ile kitu sio ya kila mtu, wengi wamevamia.No FAP analalamika hapewi mzigo na demu wake kwenye uzi uleeee 🤣🤣🤣
Sasa ulimjibu nini baada ya kughairi kutuma?Demu wangu wa chuo kaniomba 25k akaprint project. Nkabeba 30k mdogo mdogo naenda kwa wakala huku naperuzi jf. Nikiwa njian nkaona uzi huu then nikawa nawaza, gari iko garage inatakiwa nkaichukue.. halafu wese sidhan km litanifikisha home. Nkagairi kwenda kutuma nkasema hii hela ntaweka wese.. demu ana bumu, ana wazazi
Umetoa maelezo mengi kweli ila nasikitika kuona kuwa comment yangu hujaielewa ipasavyo.Ikiwa una mwanamke anakupa nyapu tu kwa sababu unampa pesa basi huyo ni malaya (prostitute) tu, tafauti yake na wale wanaokaa barabarani au katika vyumba na kuhudumia yeyote yule ni kuwa ulie nae ni wale wanaoitwa high class/maintenance prostitute.
Lakini wote wanauza tupu zao mmoja anauza kwa yeyote anaetowa pesa pale pale wakati wako anakuuzia na daima unamlipa kwa pesa na zawadi tele. Usawa wao ni mwisho wa siku unamwaga wazungu ndani ya K zao tu!
Hapo ndo utajua haujui 🤣🤣🤣Kwa lift ya buku jero
Kelsea Amehlo Pellaiah kinachoniboa kwenye kuhudumia mwanamke kipesa ni kwamba wewe unakula pesa zangu, ila moyo wako wa upendo uko kwa mwanaume mwingine.. unakuwa kwangu kwa ajili ya kuchuma tu.. mawazo yote kwa mwanaume mwingine coz huyo mwanaume ni handsome kuliko mimi..Hebu tafuteni hela huko maana tunazisubiri.