Mchumba hahudumiwi vijana

Na uzi na ufungwe umemaliza
 
ukitaka mwanamke akuzalie mtoto mzuri, muhudumie mpaka azae, maana bila hvo, hawashiki mimba hawa, akizaa mtunzee, utamuoa chap. Endelea kuhudumia. Atkua mtu bora sana kwako.
Wewe hudumia
Na ukigundua hio mimba haikuwa yako utafanyaje😀
 
Demu wangu wa chuo kaniomba 25k akaprint project. Nkabeba 30k mdogo mdogo naenda kwa wakala huku naperuzi jf. Nikiwa njian nkaona uzi huu then nikawa nawaza, gari iko garage inatakiwa nkaichukue.. halafu wese sidhan km litanifikisha home. Nkagairi kwenda kutuma nkasema hii hela ntaweka wese.. demu ana bumu, ana wazazi
 
Sasa ulimjibu nini baada ya kughairi kutuma?
 
Umetoa maelezo mengi kweli ila nasikitika kuona kuwa comment yangu hujaielewa ipasavyo.
 
Hata jogoo anahonga mijusi na minyooo ya ardhini. ,,

Mwanaume kuhonga kunakuongezea marks ktk mahusiano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…