Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kwa ambaye una future naye sioni taabuWatu huchomoa siku ya harusi ndo umgharamikie?
Sisi tunakula za tuwapendao
Usiumie, mbona mambo ya kawaida tu hayo.
Nature inasemaje😂😂😂"kama hana mkono wa birika" unampa bf wako hela sababu anakupaga hela, mbona sisi wanaume tunawapa hela ingawa tunajua nyie wadada huwa hamtugei hela Amehlo
Kwenye hela nature ndio kila kitu na si 50/50 hapo ndio ninapo wakubaligi wanawake .Nature inasemaje😂😂😂
Sis si ni wapokeaji ko kutoa ni mara moja moja
Hata nyie si mnaangalia pa kutoa
Kijana una umri chini ya miaka 40 una honga mwanamke je unainvestment za uhakika au una urithi?Hata jogoo anahonga mijusi na minyooo ya ardhini. ,,
Mwanaume kuhonga kunakuongezea marks ktk mahusiano.
Me sio shabiki wa 50/50Kwenye hela nature ndio kila kitu na si 50/50 hapo ndio ninapo wakubaligi wanawake .
Msiombe uchii
Nimpe tigo kwa 1M over my deadbody[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Samahani kwa kutokuelewa comment yako.Umetoa maelezo mengi kweli ila nasikitika kuona kuwa comment yangu hujaielewa ipasavyo.
Three things i refuse to pay for air, water and sexUsipende vya bure
Kwani nanyi hamuingiwi na hamu?Wabaki na hamu zao
Sio shida zetuKwan
Kwani nanyi hamuingiwi na hamu?