Mchumba hahudumiwi vijana


Wewe jamaa unataka kutuponza
 
Bro unaona imekaa sawa hiyo
unataka kusema dada poa na mchumba ni sawa?? Mbona kama huelewi kitu..huduma anayotakiwa kupatiwa mchumba usikariri ni kufanyiwa mambo makubwa makubwa tu kama kusomeshwa,,,kuna huduma ndogo ndogo pia unazoweza kumpa ambazo huwezi kuzitoa kwa hao madada poa labda uwe zuzu,,,jaribu kutofautisha bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…