Mchumba kakataliwa kisa shepu

Mchumba kakataliwa kisa shepu

We toyoyo kwel yan unampeleka mtu kwa mawifi hana mimba hapo ulichemsha mdogo angu wenzio tulipiga mimba tena miezitano kubwa kabisa katumbo hako ndo unatambulisha
 
Unapotaka kuoa suala la ndugu lina uzito wake ya nini kuoa au kuolewa wakati hukubaliki na ndugu? Ukipata tatizo ndugu watakutenga na kejeli juu kwamba tulimwambia hakusikia! Ndo maana mchumba anatambulishwa ili ndugu jamaa na marafiki watoe comments kama ndugu wana walakini na mke mtarajiwa ni bora ukaachana nae!
 
anaye oa ni mimi ila baraka za ndugu wa tumbo moja ni muhimu sana!!

Nani kakuambia baraka ya kuhusu mkeo inatoka kwa dada au mwanadamu yeyote? Hlf hatahivyo dada zako kukuamulia mtu wa kumuoa sio baraka,Ukimpenda na kuridhika naye wewe mwenyewe,basi unamuoa tu..
 
Unapotaka kuoa suala la ndugu lina uzito wake ya nini kuoa au kuolewa wakati hukubaliki na ndugu? Ukipata tatizo ndugu watakutenga na kejeli juu kwamba tulimwambia hakusikia! Ndo maana mchumba anatambulishwa ili ndugu jamaa na marafiki watoe comments kama ndugu wana walakini na mke mtarajiwa ni bora ukaachana nae!

Wanaume wa aina yako ni janga hapa ulimwenguni. In short we ni WA KIUME sio mwanaume! Yaani mkeo ni lazima akubalike na ndugu na rafiki!!!! We kweli m........
 
Wanaume wa aina yako ni janga hapa ulimwenguni. In short we ni WA KIUME sio mwanaume! Yaani mkeo ni lazima akubalike na ndugu na rafiki!!!! We kweli m........

You are right...he needs to sand on his own!!
 
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.

Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.

Mwanzishie dozi hamira kipakiti 1 mara tatu kwa siku, siku 7 then sindano za makalio
 
Kwan mama yako na Baba yako wamemkataa???
Kama na wao wamemkataa wana hoja ghani ya msingi kama watu wazima??, hachana na hao akina dada, usikute bado ndio wale wakuamkia instagram kulalia twitter, all the know is ...pedicure, manicure ..... chonga kucha tuu.
 
Guys thanks kwa ushauri wenu mzuri kwa wale waliokuwa na nia njema na mimi hatimaye nimefanya uamuzi ulio sahihi kabisa...kwa wale walionitolea lugha za matusi na kejeli naomba Mungu awasamehe!!!!
 
heeee! Mamodo tuandamane haiwezekani tubaguliwe tunajiona
nani kasema wembamba hawapendwi??
mm ni mnene na nina tumbo maisha yengu yote ni vimbaumbau
hebu muulize Infantry Soldier mashine ameionaje? km inalipa yeye aachane na Madada
kwani kuoa ni kuangalia vigezo vingi tu
 
watume dada zako wakuletee mwenye shape nzuri... wakishindwa wachape makofi na mabanzi ya kutosha
 
Madada zetu sijui wakoje. Utadhani wao ndo wanaoa. Mbona wametoa sababu haina hata mzingi?? Wewe si ndiye ulivyompenda. Kama sababu yao ndo hiyo tu na wewe wampenda wala hauna haja ya kuwasikiliza. Wewe ndo wataka ishi na huyo msichana sio wao, hivyo usije ishi na mtu wao badala ya kuishi na mtu wako.
 
Back
Top Bottom