mwalimumzalendo1
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,098
- 406
kutembea na mke wa mtu.
Dada zake ndo watakuwa na sauti kwenye ndoa
tena wakigombana huyooo nduki kushtaki kwa madada zake
mxyuuuuuuu
sijacheka kwa ubaya, nimefrah
Yaan n balaa tu ukimwambia kitu lazma aende kuwaambia Dada zake kwanza
Ukiolewa hapo lazma uwe mtumwa
hmmm umenipa viulizo...
na ukiwa mwanamke mpole utaona ndoa jehanam....
usiogope, modals are Easy to cary.
Umeona eeeh!
Wanawake wengine wanaolewa na tabia upendo lakin mawifi wanawabadilisha
anaye oa ni mimi ila baraka za ndugu wa tumbo moja ni muhimu sana!!
dada wa watu hajasoma tu mchezo?
huyu sio muoaji mamitooMbona kazi ipo.
Kuwa na msimamo kama mwanamme bila hiyo huko mbele utamtesa mtoto wa watu wa kutoweza kusimama mwenyewe.