eponsianus
Member
- Mar 19, 2014
- 23
- 0
Kampige lipu ili aongezeke unene
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.
Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.
Basi barikiwa na dada zako.....
usiendelee kumpotezea muda binti wa watu....
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.
Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.
Basi barikiwa na dada zako.....
usiendelee kumpotezea muda binti wa watu....
Umependa ww au dada ? Tuambie kabla ya ushauri
Acha zako! Hujampenda tu huyo dada.
huyu sio muoaji mamitoo
muoaji anajua quality za substantial wife.........
Tena tukalale barabarani pale karume!! Tukemee ubaguzi wa ki umbo.
Ila twin wanaume wa kuamuliwa na dada zao tunawahitaji kweli?
anaye oa ni mimi ila baraka za ndugu wa tumbo moja ni muhimu sana!!
Hao dada zako wana mashepu?je nao wao wameolewa? kama ndio vipi wako home kwenu?
sio issue ya kuamuliwa na dada zangu wewe...kuna masuala ya kuomba ushauri kwa watu wako wa karibu na mengine ya kufanya maamuzi magumu bila kuathiri uhusiano uliopo!!