eponsianus
Member
- Mar 19, 2014
- 23
- 0
niikuulize swali km wewe unataka kuoa dada zako wanakushauli uachane na huyo mchumba wako, swali langu kwako ni hili cku dada yako akija na mchumba wake unadiliki kumwambia dada yako kuwa ujampenda bwanake? atimaye atafute mwingine acha ujinga wewe ni mtoto wa kiume na anayeoa ni wewe na c dada zako, umeongelea swala la baraka kutoka kwa ndugu zako wa tumbo moja kwani wao ni nani? ni mungu eti anatoa baraka? ndugu hukusaidia mawazo tu na c mahamzi ya kuoa kwako.