Mchumba kakataliwa kisa shepu

Njoo tubadilishane mkuu, kama wa kwako kichwani ametulia! mimi ninae ana shape ya ajabu but kichwani mh....kichwa maji na amejaa wivu usio na maana. Njoo mkuu...
 
kAmuoe wema sepetu...true love is beyond relatives,religion,parent...msimuoe huyo binti mana humpendi., ungempenda usingeona madhaifu.yake

kila binadamu ana mapungufu yake na hakuna aliyemkamilifu!!
 
Hv nyie mnasoga post kwanza au,post inamuhusu mdada na co mkaka lol
 
Kumbe dada zako wanaoa na si wewe?? Ngoja na mkeo atakuoa wewe!!! Ningekuwa wewe nisingepoteza muda wa kuuliza hapa?? Ninayeoa ni mimi na hakuna wa kuniingilia isipokuwa Mungu mwenyewe!!!! Mnapenda kuendekeza mambo yasiyo na kistaarabu!!! Usipokuwa makini hutakuwa na ndoa ya chaguo lako na itakugharimu!!
 
Sishangai @ 29 years mtoto wa kiume huna maamuzi just dada zako wanakuhangaisha kwa mke unaempenda?? kweli??? your not serious....

mambo mengine sio ya kufanya uamuzi mgumu utakaojenga nyufa katika familia...ninatafuta namna ya kubadili their prejudiced mindset na kuona kuwa watu wote ni sawa...i think they need some sort of psychiatric counselling ili kuwabadili namna wavavyotazama mambo.
 

Is it a psychiatric of psychological problem?. IF ITS THE FORMER AND NOT THE LATER THEN DON'T ASK THEIR OPINION.
 
Mwanaume asiye na msimamo ni janga kubwa saana..!! Hafai hata kidogo..!!
 
Na hao dada zako wana shepu gani haswaaa mpaka waikosoe ya mkeo mtarajiwa? Hao ndo wale mawifi wa kuwapa kubwa... kama vipi piteni ndani mkamridhishe na kaka enu maana mnampenda sana hawezi kohoa bila nyie kusema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…