dikembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,645
- 1,439
Njoo tubadilishane mkuu, kama wa kwako kichwani ametulia! mimi ninae ana shape ya ajabu but kichwani mh....kichwa maji na amejaa wivu usio na maana. Njoo mkuu...Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.
Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.