Mchumba kakataliwa kisa shepu

Mchumba kakataliwa kisa shepu

Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.

Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.

mke mtarajiwa au mke si chaguo dogo. kama ww mwenyewe unamkubali kwa vigezo vyako vingine ikiwemo hyo shape yake go for her ila kama ww ni mtu ambaye hujiamin na mwenye kutegemea maamuz ya watu wengine achana na huyo dada.
 
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.

Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.

Kwani dada zako ndo wanamuoa huyo dada au wewe?Halafu wanaume wa hivi nawachukia nyieeee!!!Yaani mnaendekeza kusikiliza maneno maneno ya ndugu yasiyo na kichwa wala miguu!!!Ningewaona wana point endapo mmoja angesema anamfahamu mchumba wako ni changudoa mzoefu lakini eti mwembamba??Afu na wewe mwanaume mzima unakuja kuleta hii mada tukusaidie ushauri kweli??We akili za kufikiri huna? Basi mtafute Asha boko umuoe uwaridhiishe dada zako!! Nya........
 
acha ushamba wewe, kila mtu na chaguo lake, wewe kama moyo wako hujampenda huyo kaka sawa, lakini eti umuache kisa mwembamba? kwani yeye alipenda awe mwembamba? kwa nini hao dada zako hawakukwambia toka zamani kuwa ikiwa unatafuta mchumba basi tafuta mnene? hadi umempotezea kaka wa watu muda wake? shauri yako tafuta laana tu!!

mtoa mada ni mwanaume, mchumba wake ambaye ni mwembambaaaa ni mwanamke
 
Sasa wewe umeamuaje sababu hapa kupenda ni ndani yako sio ushauri wa watu.Kama wewe magari makubwa huyawezi kwa nini wanakulazimisha?Wewe chukua potable wako basi magari makubwa yanaitaji pumzi arifuu
 
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.

Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.

Mkuu, ulienda kuwatambulisha au kupata idhini yao. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Kama ni kupata idhini yao hayo ndio matokeo lakini kama ni kuwatambulisha hilo suala lingine. Mwanaume ogopa kuchaguliwa mke na dada zako. Mbele ya safari majanga. Utashangaa hao wanaomkataa binti wa watu hawajaololewa wala hakuna dalili - labda tusitumie lile neno la manungayembe.
 
wewe ndo umempenda bwana nakushauri umuoe masister zetu bwana huwa wanamatatizo sana unaweza ukamuacha ukao mwingine ambae watampenda alafu akawa balaa ndan ya nyumba
 
kabisaaa ........mwanaume wa hivyo tegemea kuishi kwa shida nyumba itaendeshwa na ndugu zake.

Imagine twin unamshauri kitu mumeo anakwambia subiri kidogo,then ananyanyua simu kumpigia dada yake kwanza apewe go ahead!
Wallahi namnasa kofi!!
 
Kitendawili: "labda itokee tu, mhhh, lakini mimi nafsi yangu inapenda wale....."🙂
 
Imagine twin unamshauri kitu mumeo anakwambia subiri kidogo,then ananyanyua simu kumpigia dada yake kwanza apewe go ahead!
Wallahi namnasa kofi!!

Inauma sana twin....tutapigana ndani kila siku
 
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.

Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.

Shapeless?? They must be kidding,nowdays watu wanaangalia upstairs(IQ) kama yupo njema ndo jambo la msingi,hayo mengine vikolombwezo tu,
 
Kumbe dada zako? Nilijua wazazi, btw hao dada nadhani wanaishi maisha ya kufikirika, wakupe basi sababu za kumuacha model na kuchukua tipwa tipwa.
 
Huyo mchumba bora ale zake kona...sio familia ya kuolewa hiyo, na mume mtarajiwa mwenyewe hana hata msimamo mbele ya dada zake kuhusu muonekano wa mchumba wake. Hujafa hujaumbika..akinenepa wakamkubali halafu akapata ajali akakatwa mguu si watakuja kumuhamisha na FUSO kabisa!
 
Jamani wana Jamiiforums wenzangu nimebaki njia panda. Nilienda kumtambulisha mchumba wangu kwa wifi zake (dada zangu) juzi jumatatu huko kwetu sinza mida ya jioni baada ya kutoka kazini kwa kuwa tunafanya kazi ofisi za karibu pale posta.

Ila walichonijibu ni kuwa nitafute mwingine kwa kuwa huyu hana shape hawajampenda. Huyu mchumba angu yeye ni slander (mwembamba). Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje sasa nimebaki njia panda.

Team vivulana!
 
Back
Top Bottom