Mchumba / mke huu ni mwaka wa kihistoria popote ulipo toroka uje

Hivi unakuwaje single? Hauhisi kupungukiwa?😁
Ss km hujapata mtu unafanyaje? Ulazimishe?
Au una mtu haeleweki wa nn?
Bora ukae single,ujitathimini ujue shida nn,unakosea wapi, au unawakubali wasiokuwa sahihi,etc🤣🤣

Kuwa na mahusiano ambayo hayana ni tija ni ujinga🤣
 
Vijana wanawakataa kila kona mwambie baba mtoto akuoe
Hapana mkuu mi Sina mtt
Nilikuwa nawatetea tu single Maza

Ila huku kitaa Wanaolewa tu mbona
Huku jf tu ndo mnawakataa🤣
 
Wewe ni mjinga na limbukeni, ngoja wanawake wa humu wakudangie ati kisa unaokoa mda, kwanini usiende kijijini kwenu?.
Anyway uamuzi ni wako lakini sisi wanaJF tutakuwa tunaperuzi JF kila siku tukiangalia mrejesho wa maendeleo ya ndoa yako.
 
Huyu Okot P'Bitek ni noma😂😂😂
Tutaishia ku"Eat more fruits" humo ndani
🤣🤣🤣🤣🤣Hakika,this time tomorrow utakuwa kwenu and you will be singing the Song of Lawino and Ocol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…