Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kwa uandishi huu wa mashamsham hakopi hela kausha damu🤣🤣🤣🤣Mwee!Mtarajiwa atupumzishe kwanza hatutaki diet sisi
Nina mashaka patatokea "Three suitors one husband"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uandishi huu wa mashamsham hakopi hela kausha damu🤣🤣🤣🤣Mwee!Mtarajiwa atupumzishe kwanza hatutaki diet sisi
Mmmh pakitokea hiyo balaa hapo Sasa atakuwa "an enemy of the people "😇😇😇Kwa uandishi huu wa mashamsham hakopi hela kausha damu
Nina mashaka patatokea "Three suitors one husband"
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakika,this time tomorrow utakuwa kwenu and you will be singing the Song of Lawino and Ocol
Mchumba huyo changamkia fursa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jaman
Inashawiahi sana
mnooInashawiahi sana
Nmecheka sana 🤣🤣🤣Mmmh pakitokea hiyo balaa hapo Sasa atakuwa "an enemy of the people "😇😇😇
🤣🤣🤣Maana kaingia na mikwara mikaliNmecheka sana 🤣🤣🤣
Mchumba amekuja na quotes kama zote anatupeleka hadi literature class
Chukua mchumba huyo au hutaki watoto wasome intaneshno🤣🤣🤣🤣Maana kaingia na mikwara mikali
Mwishowe itakuwa maumivuMmmh pakitokea hiyo balaa hapo Sasa atakuwa "an enemy of the people "😇😇😇
Na ukijamba atasema..... the river. Between...🙂....ukijifunguwa wa kiume...utasikia...mine boy..🙂..mkienda kwa wazazi...atatamka....new life in kyerefaso.🙂Kwa style ya kumquote Ngugi w Thiong'o,,nikichelewa kupika lazima utanisomea vifungu vya,"the beautiful ones are not yet born"nikichelewa kurudia utasikia "things fall apart" eeeeh balaa
Duuuh hiyo new life ni Kyerefaso nilikisahau kabisa kama Kuna exist😂Na ukijamba atasema..... the river. Between...🙂....ukijifunguwa wa kiume...utasikia...mine boy..🙂..mkienda kwa wazazi...atatamka....new life in kyerefaso.🙂
Chukua jimbo da maua mwaka huu tushone sareSwali wewe ni mkristo dhehebu gani??
Si uende PM?au huna Nia?Umepata? Au nije mimi
Nimejenga sanamu ya hii comentHumu wapo single maza tupu..!! Huku utaambulia marapurapu na midabwada