Namkubali bi dada so siri anapeperusha bendera yetu vyema kimataifa. Athante!
Haya wote tunajua amechumbiwa kwa sasa, Haya hongera binti. Utata ni nani aliyemchumbia? Why anafanya siri watanzania kutomjua mchumba wake? Na msiseme why nauliza, cause she is a Public Figure so it's not a regular person am asking here. Kwa anayemjua atupie picha hapa tumwone.
Haya wote tunajua amechumbiwa kwa sasa, Haya hongera binti. Utata ni nani aliyemchumbia? Why anafanya siri watanzania kutomjua mchumba wake? Na msiseme why nauliza, cause she is a Public Figure so it's not a regular person am asking here. Kwa anayemjua atupie picha hapa tumwone.