Mchumba wa Jux, Jackie Cliff katoka jela China yuko bongo

Mchumba wa Jux, Jackie Cliff katoka jela China yuko bongo

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Kweli maisha yanaenda kasi mazee, yule manzi alikuwa ndiyo mkali kuliko manzi wote macelebrity wa bongo Jackie Cliff ambaye alikuwa ni mpenzi wa msanii Juma Jux ambaye alikutwa na kesi ya madawa ya kulevya na kutumikia kifungo cha miaka jela yuko uraiani sasa hivi bongo.

Katika pitapita nimekutana nae na usiku huu nikaona katupia picha insta ila kusema ukweli kachakaaa, na ile tittle ya pisi kali sizani kama bado inamfaa.

Nikiangalia kurasa wake picha mpya aliyo tupia leo na ile ya mwisho aliyotupia 2014 kabla hajaenda jela ndo utaona kumbe binadamu tunazeeka.

IMG_20211116_034020.jpg
IMG_20211116_033952.jpg
IMG_20211116_034045.jpg
 
Kweli maisha yanaenda kasi mazee, yule manzi alikuwa ndiyo mkali kuliko manzi wote macelebrity wa bongo Jackie Cliff ambaye alikuwa ni mpenzi wa msanii Juma Jux ambaye alikutwa na kesi ya madawa ya kulevya na kutumikia kifungo cha miaka jela yuko uraiani sasa hivi bongo.

Katika pitapita nimekutana nae na usiku huu nikaona katupia picha insta ila kusema ukweli kachakaaa, na ile tittle ya pisi kali sizani kama bado inamfaa.

Nikiangalia kurasa wake picha mpya aliyo tupia leo na ile ya mwisho aliyotupia 2014 kabla hajaenda jela ndo utaona kumbe binadamu tunazeeka.View attachment 2012252View attachment 2012253View attachment 2012254
Namuona Petman na sikia nae anatoa connection ya kuwaunga mapunda kwa maboss wa ngada.
 
Back
Top Bottom