Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza utakuta mnyama Jux yupo studio kwa ajili ya Kichupa special cha Jack
Coz nyimbo zake zote huwa ni za matukio ya mademu zake
Yaan jitu lilikutwa na kesi ya mihadarati alafu hao mbulula wengine eti wana comment welcome back, tulikumis,Kweli maisha yanaenda kasi mazee, yule manzi alikuwa ndiyo mkali kuliko manzi wote macelebrity wa bongo Jackie Cliff ambaye alikuwa ni mpenzi wa msanii Juma Jux ambaye alikutwa na kesi ya madawa ya kulevya na kutumikia kifungo cha miaka jela yuko uraiani sasa hivi bongo.
Katika pitapita nimekutana nae na usiku huu nikaona katupia picha insta ila kusema ukweli kachakaaa, na ile tittle ya pisi kali sizani kama bado inamfaa.
Nikiangalia kurasa wake picha mpya aliyo tupia leo na ile ya mwisho aliyotupia 2014 kabla hajaenda jela ndo utaona kumbe binadamu tunazeeka.
Amenoga mnooh.Nimekaona kanooga mwenyewe kuzidi walokua uraini etii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mistari itakua, mimi sina tatizo jackie kama unavoona nipo singo kama unatamani tuendelee nipo tu,