Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ni demu wa kichagga au kimeru ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni demu wa kichagga au kimeru ?
Unataka ugundue nini ?[emoji1623] drum sticks kudadadeki
Ila huyu jamaa ni mshamba na limbukeni sana
mikono inaonesha, lkn sifa nyingine zimezidishwaUnataka ucheki miguu tu.....
kama ni vijiti
Mkuu muombee duwa njama mwanaume mwenzetu , hii itakuongeza baraka kwa AllahHawa ngoja waachane, jamaa anapenda sana kumsifiasifia na kujidai nae sana hapa mjini. Ngoja tu yatamfika
Jamaa anaonaga huyo demu ndy kila kitu na ndiyo demu wa maana sana Tanzania na kuona wanaume wengine wanawake walionao ni vitumbua, sasa hii ni dharau.Mkuu muombee duwa njama mwanaume mwenzetu , hii itakuongeza baraka kwa Allah
[emoji3]
Kweli kabisa mikono njiti miguu itakuwa njiti tupu.....mikono inaonesha, lkn sifa nyingine zimezidishwa
View attachment 1592680
Hivi mrembo kiasi hicho atafeli vipi?Wanawake wa hivi wachache sana, mzuri umbo na sura na kichwani zina charge
Dah aisehhJamaa anaonaga huyo demu ndy kila kitu na ndy demu wa maana sana TZ na kuona wanaume wengine wanawake walionao ni vitumbua, sasa hii ni dharau.
Yakimfika ndy ataelewa hata Zari na hela zote wao na Diamond bado walitifuana.
Duh! [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke mzuri anadate na kimwanaume hata hakieleweki
[emoji23][emoji23]hii ndio rangi harisi ya wabongoHawa ngoja waachane, jamaa anapenda sana kumsifiasifia na kujidai nae sana hapa mjini. Ngoja tu yatamfika
[emoji23][emoji23] eti kijamaaCAG kabisa!! Acheni utani basi.. Anyways hiki kijamaa hakijui kuandika halafu eti kina masters..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nawaambia baadhi ya wapuuzi flani hivi wananiona mimi chizi!Kuwa CAG! Una akili wewe! Huyo kafaulu tu mtihani kuhusu kupata kazi kuna mambo mengi ya kuangalia