Mchumba wake Nikki wa Pili huenda akawa CAG mpya. Tayari ametuma maombi

Mchumba wake Nikki wa Pili huenda akawa CAG mpya. Tayari ametuma maombi

Unataka ucheki miguu tu.....
kama ni vijiti
mikono inaonesha, lkn sifa nyingine zimezidishwa
1602048854730.png
 
Mkuu muombee duwa njama mwanaume mwenzetu , hii itakuongeza baraka kwa Allah
[emoji3]
Jamaa anaonaga huyo demu ndy kila kitu na ndiyo demu wa maana sana Tanzania na kuona wanaume wengine wanawake walionao ni vitumbua, sasa hii ni dharau.
Yakimfika ndy ataelewa hata Zari na hela zote wao na Diamond bado walitifuana.
 
Jamaa anaonaga huyo demu ndy kila kitu na ndy demu wa maana sana TZ na kuona wanaume wengine wanawake walionao ni vitumbua, sasa hii ni dharau.
Yakimfika ndy ataelewa hata Zari na hela zote wao na Diamond bado walitifuana.
Dah aisehh
 
Daaah kuna watu wakibet hawachani mikeka kabisa, unakuta mwambA una demu mmbaya mixer kichwani hamnazo
 
Wanawake hawa huwa ni Pasua kichwa sana... Ukimuudhi anazaa na mtu mwingine mtoto mnalea wote afu hawaambiliki na ndani ni mwendo wa kubishana tu hata kama kitu hakijui atataka awe mshindi tu... Wanawafaa Wanaume wapole wenye kupotezea tu na kusahau... ila Wanaume Seriours hawamalizi wiki wanakuwa washaachana.
 
Jinga sana eti cag,akina kachele wamesota tra leo huyu atoke fresh from college awe cag
 
Kuwa CAG! Una akili wewe! Huyo kafaulu tu mtihani kuhusu kupata kazi kuna mambo mengi ya kuangalia
Huwa nawaambia baadhi ya wapuuzi flani hivi wananiona mimi chizi!
kuna watu wana lower second na wapo taasisi kubwa za serikalini[emoji23]
 
Back
Top Bottom