Mchumba wake Nikki wa Pili huenda akawa CAG mpya. Tayari ametuma maombi

Mchumba wake Nikki wa Pili huenda akawa CAG mpya. Tayari ametuma maombi

Sitaki kuwa negative but exam performance na ubobezi katika fani husika ni vitu viwili tofauti.

One can perform wonders on attempting and answering selected number of questions on a paper but i’m telling u it’s quite diffetent from executing the respective field. Take it from me
Very true.
 
Jamaa anaonaga huyo demu ndy kila kitu na ndy demu wa maana sana TZ na kuona wanaume wengine wanawake walionao ni vitumbua, sasa hii ni dharau.
Yakimfika ndy ataelewa hata Zari na hela zote wao na Diamond bado walitifuana.
Atagongewa sana,mtu mwenyewe anamiliki raum halafu ukimuona mtandaoni unaweza kufikiria kayapatia maisha sana,aendelee kuimba wapoloo wapolo
 
Kwahiyo nikki kakubali kabisa hilo na uzuri huo wa huyo mwanamke wake... Kakubali kabisa mchumba wake kuwa wa kwanza 😂😂😂😂
 
Ila Niki acha atetemekee huyu manzi maana kaona kaokota dodo kwenye muarobaini.
Hongera zimfikie wifi wa Taifa
 
Wamepiga picha kama dada na kaka hata kamkumbato hamna
 
Huu ndio mwandiko wa Masters, utopolo kama yule PhD tu!

"Ewe msomi wa shahada sijajua umesoma nini". Nikki Mbishi.
 
Halafu huyu Nicky alivyokuwa boys usikute hata kupiga hajawahi.
 
Wanasemaga wanawake wenye mizigo hawana akili. ..kiko wapi
 
Wanasemaga wanawake wenye mizigo hawana akili. ..kiko wapi
Umeona nini hapo kuprove ana akili, kutuma 'maombi' ya u-CAG au kusifiwa tena kwa mwandiko wa hovyo namna ile!!
 
Back
Top Bottom