Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Jinga sana eti cag,akina kachele wamesota tra leo huyu atoke fresh from college awe cag
Ngoja mafisi wamporeHawa ngoja waachane, jamaa anapenda sana kumsifiasifia na kujidai nae sana hapa mjini. Ngoja tu yatamfika
Umeona chombo Hicho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wa hivi wachache sana, mzuri umbo na sura na kichwani zina charge
Nimekipenda chombo na kichwani kipo smart.. ila nionavyo mshkaji atakuja kupewa mchomo kama wa undertaker.. huko mbeleni😃😃😃😃Umeona chombo Hicho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mwanaume anaye eleweka yupoje?Mwanamke mzuri anadate na kimwanaume hata hakieleweki
Wapo warembo kuliko huyo wana fail sanaaaa..Hivi mrembo kiasi hicho atafeli vipi?
Atakuja mpiga chini siku za mbeleni.. na sio mda mrefu sanaaaaaa.. 😃😃😃Mwanamke mzuri anadate na kimwanaume hata hakieleweki
Inategemea na huruma ya hao warembo kwa lecturers..Wapo warembo kuliko huyo wana fail sanaaaa..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo demu unaweza ukamweka kama dhamana benki na wakakupa 10 billion
Yaani ni wewe na mimi tu ndio tumewaza nje ya box!!Hivi mrembo kiasi hicho atafeli vipi?
Kabla ya kupata mkopo,,yabidi meneja mkopo amkaguwe kwanza ,,kama ana vigezo hivyo vya pesa unazohitaji.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa jinsi alivyo ili apate hiyo nafasi lazima wamkairuki kwanza.
CheersSitaki kuwa negative but exam performance na ubobezi katika fani husika ni vitu viwili tofauti.
One can perform wonders on attempting and answering selected number of questions on a paper but i’m telling u it’s quite diffetent from executing the respective field. Take it from me