Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
yule housegirl wako yupo?We tuambie tu huyu msomi wa shahada kasoma nini, maana mwandiko wake hata mwanangu std VI haandiki hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yule housegirl wako yupo?We tuambie tu huyu msomi wa shahada kasoma nini, maana mwandiko wake hata mwanangu std VI haandiki hivyo.
Tatizo lako Mzee unatunza sana kumbukumbu, housegirl wangu pia hawezi kuandika hovyo namna ile.yule housegirl wako yupo?
Acha asifie tu, hata mimi ningesifia tu.Jamaa anasifia Sana mpaka anakeraaaa
Mshamba sana huyo jamaa.. Kutambiatambia ufaulu wa mitihani ni mambo ya kizamani sanaIla huyu jamaa ni mshamba na limbukeni sana
Hakuna mwanamke mzuri hapo, nenda fotoshop mpige rangi nyeusi uoneNamuoea huruma sana huyu dogo......ningekuwa na mke mzuri hivyo halafu anafaulu sana kila siku ningepoteza amani kabisa....ningejiona fala ...anavyomuanika hivi baada ya uchaguzi atapelekwa ubalozi au atapewa uRC au uCAG....halafu dogo ataendelea kushangilia tu
Akili sio kujua hesabuWanasemaga wanawake wenye mizigo hawana akili. ..kiko wapi
Ngojaa aendelee kumpost iko siku wakina badiestii aka mtu mbadi wataruka nae asiaminiHawa ngoja waachane, jamaa anapenda sana kumsifiasifia na kujidai nae sana hapa mjini. Ngoja tu yatamfika
Kelele nyingi halafu apeche alolo tu,wasanii wetu njaa kali tu hawana lolotembona unamdiss muarachuga mwenzako [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwa hiyo apunguze kelele sioKelele nyingi halafu apeche alolo tu,wasanii wetu njaa kali tu hawana lolote
Mbavu zangu 😂🥁 drum sticks kudadadeki
Huwa inani confuse sana 😂 😂 😂CAG kabisa!! Acheni utani basi.. Anyways hiki kijamaa hakijui kuandika halafu eti kina masters..
Mmh mwaka elfu mbili mia Kenda na tatu
Atunukiwe honorary doctorateMtoto mkali huyu, walahi huyu hata mwanamke unamtamani mwanamke mwenzio
Mkuu acha dongeHawa ngoja waachane, jamaa anapenda sana kumsifiasifia na kujidai nae sana hapa mjini. Ngoja tu yatamfika