Mchumba wake Nikki wa Pili huenda akawa CAG mpya. Tayari ametuma maombi

Mchumba wake Nikki wa Pili huenda akawa CAG mpya. Tayari ametuma maombi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa niaba ya wasio na connection wote, tunaomba kupata hiyo habari ya Wistaz Lodge ilikuajekuaje. Natanguliza shukrani za dhati
Pole man. Ubaya hamna picha wala video. Ila kuna babu kala mzigo wa huyu chalii wa Aru.

Tatizo jamaa alinitia mjuaji akamchokoza kigogo2014 uwanjani kwake twittani. Si unajua kigogo ana mabalaa.

Akampasua kwamba demu wako kachanwa hapa Wistaz na Paris.
 
Pole man. Ubaya hamna picha wala video. Ila kuna babu kala mzigo wa huyu chalii wa Aru.

Tatizo jamaa alinitia mjuaji akamchokoza kigogo2014 uwanjani kwake twittani. Si unajua kigogo ana mabalaa.

Akampasua kwamba demu wako kachanwa hapa Wistaz na Paris.
Duuuh, kigogo hafai. Kwaio huyo babu alimpelekea Paris ufaransa?
 
Hahahaaah!!! Aisee kwakweli wazee, wenyewe hata nguvu naona mpaka wajibust.

Yaani lile duka lake nahisi Profesa ndio katoa mtaji.
Ana miliki duka kumbe? Dah sijui niroge wapi namimi nikamate pisi Kali.
 
Back
Top Bottom