5G NETWORK COVERAGE
Member
- Mar 10, 2024
- 40
- 98
Yamemkuta hahahah piga come back
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi atukabi vichochoroni tunakaba road na hakuna cha kutufanyaTuendelee wadau
View attachment 3036757
Hii si stori ya Kutunga kabisa.kuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao,
tulikuwa tumeshatambulishana kwahyo kwao wananifahamu na kwetu vile vile wanamfahamu,
asanteni
Mkuu pole sana I feel your pain.. mi demu nikiwa namuelewa wala sio demu wangu nikisikia analiwa nakosa hata usingizi Sasa najaribu kujiweka kwenye nafasi Yako demu wako ambaye una mipango naye kachapwa na wana angalau ingekuwa umesikia ila umeona na picha bro yatapita ila maumivu yake sio kitoto.kuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao,
tulikuwa tumeshatambulishana kwahyo kwao wananifahamu na kwetu vile vile wanamfahamu,
kwa kumwelezea kdgo huyu bidada ni mpole,mtu wa dini sana na anazungumzika vzr kwa watu vzr(mtu wa heshima)
sijawahi mhofia kuhusu suala zima la uhusiano ,amekuwa open sana kwangu kwa kipind kirefu ukizingatia na ukaribu tulio nao ,
sasa wiki iliyoisha bana nlikuw mitaa ya mbali kdg na mtaani kwetu ,kuna rafiki yangu alipata ajari so nikawa nmeeda kumuona,
asanteni
Sana man..Mzee nimajaribu kuvaa viatu vyako roho imeniuma sana.
Kweli mkuu hiyo ishu ndogo sana we oa tuUkikimbia nchi kisa mvua inayesha, utapakimbia kila pahala, maana IT RAINS EVERYWHERE. Ni suala la majira tu.
Vumilia tuu dogo,mambo haya magumu sana,umesema ni mcha Mungu,duuh hatari sana.kuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao,
tu
asanteni
Mcha Mungu anatafuta Ndoa.Vumilia tuu dogo,mambo haya magumu sana,umesema ni mcha Mungu,duuh hatari sana.