Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Huyo ndie wa kuoa sasa, kishaona mambo yote ameamua kufunga break kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haipunguzi maumivu inarufisha hadhi ya kiumeNa wewe tafuta mnyonge umchapie.
Pole sana Mzee inaumiza sanakuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao,
asanteni
Tupo katika dunia ambayo haitaki watu wastaarabu na wenye hofu ya Mungu, imagine demu wako kainamishwa, jamaa kampanua,kadindisha, kavuta pumzi kubwa, kamsukumia ndani halafu akakojoa libao kubwaaa na zito, inaumaaaa uwiiiiiiii aiiiiiiikuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao,
Pole sana kaka, Kwanz steji uliopo ni ngumu sana sana. Then! si pekeako umefikiaga hatua hio! Ukitaka Hali hio iishe, usinywe pombe kabisa! Lakn nenda viwanja usiku kweny makasino, kwenye pisi Kali sana kuwa nao kweny kampani cheza nao mziki, washike kiuno au popote pale!! Asiwe Dem mmoja wawe wengi wengi!! Zingatia sana hili! Halafu isiwe siku moja jitahd iwe mara kwa mara! Usiwale uwaache just company!! Yaan utapona chapndugu zangu naendelea kujikaza ,kuna watu wamenishauri ninywe pombe huenda ntapunguza mawazo,
pilli huyu mwanamke nawaza nimblock maana simu kutoka kwake zimezid kuwa nying anaomba msamaha
Hivi ndugu yangu unaoa miaka hii upo serious kweli??? Hii miaka ni ya kula na kuacha sahani wengine wakija walie kwenye sahani hiyohiyo sio unapeleka sahani nyumbaniKuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao, tulikuwa tumeshatambulishana kwahyo kwao wananifahamu na kwetu vile vile wanamfahamu,
Kwa kumwelezea kdgo huyu bidada ni mpole,mtu wa dini sana na anazungumzika vzr kwa watu vzr(mtu wa heshima) sijawahi mhofia kuhusu suala zima la uhusiano ,amekuwa open sana kwangu kwa kipind kirefu ukizingatia na ukaribu tulio nao,
Sasa wiki iliyoisha bana nlikuw mitaa ya mbali kdg na mtaani kwetu ,kuna rafiki yangu alipata ajari so nikawa nmeeda kumuona, pale nilikuta anaendelea vzr kwa pemben pia kuna vijana watatu walikuw wakiendelea kupiga story na mgonjwa ikiwa ni pamoja na kumpa kampani/faraja
Baada ya muda mfupi kujumuika nao huyu ikabidi amuulize mmoja wapo wa wale vijana anaoa lini ,hapo ndipo story za mademu zikaanza sasa kama mnavyojua vijana huyu aliyeulizwa swali nilimsikia anasema "bro mimi kuoa ningeoa tu sema kuna mwanamke tunapendana ila alidai ana mtu wake na wanakaribia kuoana kwahy imebaki tu mi napiga kisela""
Huyu mgonjwa sasa tumwite XL na huyu anayeulizwa tumwite PK XL akiwa anacheka akasema we PK nakujua muoga muoga sana ww huna ubavu wa kuchapa manzi unawaogopa wanawake" PK nae kwa kuona kazidiwa point sindo akatoa simu yake kutuonyesha picha akiwa na huyo manz anaemsemea,
Kwanza niliona mawenge mbna kama mwanamke namfahamu,kungalia vzr naona kabsa n yy tena mwamba yupo kifua waz manzi nae kajifunika kikoi, nilijikaza kiume wasigundue lakn moyo uliiumia mno mno mno,
XL akanza kumpa msifa yote na kusema kijanaa umekuaaa, nilijifanya nimepokea simu ya dharura nikaondoka haraka, jana nimekaa nae chini nimemweleza yote mwanzon alikataa ila nilivyombana kakubali na kudai alikuw x wake washaachana.
Nimeamua kupiga chini japo naona kwa upande wake amegoma suala la kuchana ila msimamo wangu umebak ule ule siko pamoja na wadau wa kataa ndoa ila kwa sasa najipa muda kdg wa kutuliza akili.
Najua kuna walio kutana na mikasa zaid ya hii najua kwa kias kiubwa mtanifariji.
Asanteni
😂😂 Nyash na Nyash Nyash na Nyash oooh..🎵🎵Tupo katika dunia ambayo haitaki watu wastaarabu na wenye hofu ya Mungu, imagine demu wako kainamishwa, jamaa kampanua,kadindisha, kavuta pumzi kubwa, kamsukumia ndani halafu akakojoa libao kubwaaa na zito, inaumaaaa uwiiiiiiii aiiiiiii
Ni swala la muda tu ndo jibu sahihi, ila maisha ya sasa ukipata mwanamke akizaa kuwa busy na mwanao tu achana na mambo ya kumfatilia mwanamke maana. Sio kwa kizazi hichi cha leo, akuna mwanamke wa peke yako wqla mwanaume wa peke yako. Jipendi na usimuweke mwanamke akilini. Tafuta pesa furahi maisha yajo na jali watoto narudia watotoUkikimbia nchi kisa mvua inayesha, utapakimbia kila pahala, maana IT RAINS EVERYWHERE. Ni suala la majira tu.
Eti anaoa hii miaka ni ya kuoa kweli?sasa umeenza kukua.. na nikuhakikishie tu hapo ndo kumekucha yaaani mambo ndo Kwanzaa yanaanza!!!