Mchumba wangu amenisaliti, nimeona picha akiwa na jamaa

Mchumba wangu amenisaliti, nimeona picha akiwa na jamaa

Nimeamua kupiga chini japo naona kwa upande wake amegoma suala la kuchana ila msimamo wangu umebak ule ule siko pamoja na wadau wa kataa ndoa ila kwa sasa najipa muda kdg wa kutuliza akili.
Unaacha Mbunye kisa imepiga picha na Muhuni? Kwa hio umechagua kupiga NYETO? Wahi wale Maofisa warekebishaji wa migogoro ya Mapenzi Buku 5 tu unashusha mzigo wako unatembea wala hautumii gharama nyingi
 
Your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
📌📌📌📌📌📌📌

images.jpeg-7.jpg
 
ndugu zangu naendelea kujikaza ,kuna watu wamenishauri ninywe pombe huenda ntapunguza mawazo,

pilli huyu mwanamke nawaza nimblock maana simu kutoka kwake zimezid kuwa nying anaomba msamaha
Mimi ilintokea hii mwaka jana, ikabidi mwaka huu nioe. Mimi nilimfuma ktk simu yake, nikashawishiwa kumsamehe ili nimchek kama amebadilika, baadae nikamfuma na jamaa live.

Nachotaka kukwambia mkuu, huwezi kujua kwa huyo jamaa amependea nini, so kuachana na huyo jamaa ni kazi sana, na endapo akaachana nae, atatafuta mwingine mwenye sifa kama za huyo jamaa.

Usije matumaini kwamba mtu anaweza akabadilika ndani ya ndoa, hiko kitu hakipo mkuu. Tafuta mwanamke ambae unajua unammudu kwa kila kitu na hajioni kama yeye ni mrembo au ana kipato chake, angalia mwanamke ambae atakupe HESHIMA INAYOTOKA MOYONI. Mwanamke akikupenda na kukuheshimu hawezi kuwa muhuni kama huyo.
 
Kama hukumkuta na bikra yake na bado ukampenda hivyo hivyo, we oa tu.

Kila manzi anapigwa pipe huko nje na wanaume tunato*ba mali za watu.

Calm down buddy, ndoa ni zaidi ya kuchapiwa.
😄
 
Kuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao, tulikuwa tumeshatambulishana kwahyo kwao wananifahamu na kwetu vile vile wanamfahamu,

Kwa kumwelezea kdgo huyu bidada ni mpole,mtu wa dini sana na anazungumzika vzr kwa watu vzr(mtu wa heshima) sijawahi mhofia kuhusu suala zima la uhusiano ,amekuwa open sana kwangu kwa kipind kirefu ukizingatia na ukaribu tulio nao,

Sasa wiki iliyoisha bana nlikuw mitaa ya mbali kdg na mtaani kwetu ,kuna rafiki yangu alipata ajari so nikawa nmeeda kumuona, pale nilikuta anaendelea vzr kwa pemben pia kuna vijana watatu walikuw wakiendelea kupiga story na mgonjwa ikiwa ni pamoja na kumpa kampani/faraja

Baada ya muda mfupi kujumuika nao huyu ikabidi amuulize mmoja wapo wa wale vijana anaoa lini ,hapo ndipo story za mademu zikaanza sasa kama mnavyojua vijana huyu aliyeulizwa swali nilimsikia anasema "bro mimi kuoa ningeoa tu sema kuna mwanamke tunapendana ila alidai ana mtu wake na wanakaribia kuoana kwahy imebaki tu mi napiga kisela""

Huyu mgonjwa sasa tumwite XL na huyu anayeulizwa tumwite PK XL akiwa anacheka akasema we PK nakujua muoga muoga sana ww huna ubavu wa kuchapa manzi unawaogopa wanawake" PK nae kwa kuona kazidiwa point sindo akatoa simu yake kutuonyesha picha akiwa na huyo manz anaemsemea,

Kwanza niliona mawenge mbna kama mwanamke namfahamu,kungalia vzr naona kabsa n yy tena mwamba yupo kifua waz manzi nae kajifunika kikoi, nilijikaza kiume wasigundue lakn moyo uliiumia mno mno mno,

XL akanza kumpa msifa yote na kusema kijanaa umekuaaa, nilijifanya nimepokea simu ya dharura nikaondoka haraka, jana nimekaa nae chini nimemweleza yote mwanzon alikataa ila nilivyombana kakubali na kudai alikuw x wake washaachana.

Nimeamua kupiga chini japo naona kwa upande wake amegoma suala la kuchana ila msimamo wangu umebak ule ule siko pamoja na wadau wa kataa ndoa ila kwa sasa najipa muda kdg wa kutuliza akili.

Najua kuna walio kutana na mikasa zaid ya hii najua kwa kias kiubwa mtanifariji.


Asanteni
Jamba
Cc: Captain Fire
 
ndugu zangu naendelea kujikaza ,kuna watu wamenishauri ninywe pombe huenda ntapunguza mawazo,

pilli huyu mwanamke nawaza nimblock maana simu kutoka kwake zimezid kuwa nying anaomba msamaha
Huo ushauri wa pombe wamekudanganya sio suluhu

Pili kwa nature ya wanawake huyo mwanamke hajaanza kukusaliti hiyo siku bali muda mrefu ,na pengine kuna mengi huyajui kuhusu yeye.
 
Kuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao, tulikuwa tumeshatambulishana kwahyo kwao wananifahamu na kwetu vile vile wanamfahamu,

Kwa kumwelezea kdgo huyu bidada ni mpole,mtu wa dini sana na anazungumzika vzr kwa watu vzr(mtu wa heshima) sijawahi mhofia kuhusu suala zima la uhusiano ,amekuwa open sana kwangu kwa kipind kirefu ukizingatia na ukaribu tulio nao,

Sasa wiki iliyoisha bana nlikuw mitaa ya mbali kdg na mtaani kwetu ,kuna rafiki yangu alipata ajari so nikawa nmeeda kumuona, pale nilikuta anaendelea vzr kwa pemben pia kuna vijana watatu walikuw wakiendelea kupiga story na mgonjwa ikiwa ni pamoja na kumpa kampani/faraja

Baada ya muda mfupi kujumuika nao huyu ikabidi amuulize mmoja wapo wa wale vijana anaoa lini ,hapo ndipo story za mademu zikaanza sasa kama mnavyojua vijana huyu aliyeulizwa swali nilimsikia anasema "bro mimi kuoa ningeoa tu sema kuna mwanamke tunapendana ila alidai ana mtu wake na wanakaribia kuoana kwahy imebaki tu mi napiga kisela""

Huyu mgonjwa sasa tumwite XL na huyu anayeulizwa tumwite PK XL akiwa anacheka akasema we PK nakujua muoga muoga sana ww huna ubavu wa kuchapa manzi unawaogopa wanawake" PK nae kwa kuona kazidiwa point sindo akatoa simu yake kutuonyesha picha akiwa na huyo manz anaemsemea,

Kwanza niliona mawenge mbna kama mwanamke namfahamu,kungalia vzr naona kabsa n yy tena mwamba yupo kifua waz manzi nae kajifunika kikoi, nilijikaza kiume wasigundue lakn moyo uliiumia mno mno mno,

XL akanza kumpa msifa yote na kusema kijanaa umekuaaa, nilijifanya nimepokea simu ya dharura nikaondoka haraka, jana nimekaa nae chini nimemweleza yote mwanzon alikataa ila nilivyombana kakubali na kudai alikuw x wake washaachana.

Nimeamua kupiga chini japo naona kwa upande wake amegoma suala la kuchana ila msimamo wangu umebak ule ule siko pamoja na wadau wa kataa ndoa ila kwa sasa najipa muda kdg wa kutuliza akili.

Najua kuna walio kutana na mikasa zaid ya hii najua kwa kias kiubwa mtanifariji.


Asanteni
Nobody is perfect. Msamehe manzi wako, endelea Na maisha. Wanawake wote na wanaume wote hatujakamilika
 
Naona maumivu unayopitia due uliaminishwa kwa upole wake na watu wanavyomzungumzia na ukajaa mazima...sasa kujitoa hapo ndo kazi ilipo....huyo piga tu chini hakuna namna
 
Kuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao, tulikuwa tumeshatambulishana kwahyo kwao wananifahamu na kwetu vile vile wanamfahamu,

Kwa kumwelezea kdgo huyu bidada ni mpole,mtu wa dini sana na anazungumzika vzr kwa watu vzr(mtu wa heshima) sijawahi mhofia kuhusu suala zima la uhusiano ,amekuwa open sana kwangu kwa kipind kirefu ukizingatia na ukaribu tulio nao,

Sasa wiki iliyoisha bana nlikuw mitaa ya mbali kdg na mtaani kwetu ,kuna rafiki yangu alipata ajari so nikawa nmeeda kumuona, pale nilikuta anaendelea vzr kwa pemben pia kuna vijana watatu walikuw wakiendelea kupiga story na mgonjwa ikiwa ni pamoja na kumpa kampani/faraja

Baada ya muda mfupi kujumuika nao huyu ikabidi amuulize mmoja wapo wa wale vijana anaoa lini ,hapo ndipo story za mademu zikaanza sasa kama mnavyojua vijana huyu aliyeulizwa swali nilimsikia anasema "bro mimi kuoa ningeoa tu sema kuna mwanamke tunapendana ila alidai ana mtu wake na wanakaribia kuoana kwahy imebaki tu mi napiga kisela""

Huyu mgonjwa sasa tumwite XL na huyu anayeulizwa tumwite PK XL akiwa anacheka akasema we PK nakujua muoga muoga sana ww huna ubavu wa kuchapa manzi unawaogopa wanawake" PK nae kwa kuona kazidiwa point sindo akatoa simu yake kutuonyesha picha akiwa na huyo manz anaemsemea,

Kwanza niliona mawenge mbna kama mwanamke namfahamu,kungalia vzr naona kabsa n yy tena mwamba yupo kifua waz manzi nae kajifunika kikoi, nilijikaza kiume wasigundue lakn moyo uliiumia mno mno mno,

XL akanza kumpa msifa yote na kusema kijanaa umekuaaa, nilijifanya nimepokea simu ya dharura nikaondoka haraka, jana nimekaa nae chini nimemweleza yote mwanzon alikataa ila nilivyombana kakubali na kudai alikuw x wake washaachana.

Nimeamua kupiga chini japo naona kwa upande wake amegoma suala la kuchana ila msimamo wangu umebak ule ule siko pamoja na wadau wa kataa ndoa ila kwa sasa najipa muda kdg wa kutuliza akili.

Najua kuna walio kutana na mikasa zaid ya hii najua kwa kias kiubwa mtanifariji.


Asanteni
Kutombewa siku hizi ni jambo la kawaida sana, wanawake nao wamekuja juu. Si mnakumbuka kuna mbunge alikuwa akiendaga Dodoma alikuwa anaenda na mchepuko wake huku mumewe akiwa huko Dar akilea watoto yeye anajirusha na mchepuko wake huko Dom. Ni kawaida sana siku hizi kula na kuliwa.
 
Nobody is perfect. Msamehe manzi wako, endelea Na maisha. Wanawake wote na wanaume wote hatujakamilika
Mtu acheat unasemehe nini utakuja kulea watoto sio wako utanuniwa bila sababu za msingi kumbe mtu kagombana na bwana ake.. Cheating is a decision kwa mwanamke.. Acha kuwa mrembo kwa mwanamke acha kuendekeza hisia wewe mwanaume mpumbavu.. Usaliti kwa mwanamke hamna kusamehe unielewi utajifunza mbeleni.
 
Back
Top Bottom