Mchumba wangu amenisaliti, nimeona picha akiwa na jamaa

kuna mwanamke nmekuwa nae kwenye mahusiano takribani mwaka na nusu na malengo yangu mwez wa 12 nikatoe mahari kwao,
Tupo katika dunia ambayo haitaki watu wastaarabu na wenye hofu ya Mungu, imagine demu wako kainamishwa, jamaa kampanua,kadindisha, kavuta pumzi kubwa, kamsukumia ndani halafu akakojoa libao kubwaaa na zito, inaumaaaa uwiiiiiiii aiiiiiii
 
ndugu zangu naendelea kujikaza ,kuna watu wamenishauri ninywe pombe huenda ntapunguza mawazo,

pilli huyu mwanamke nawaza nimblock maana simu kutoka kwake zimezid kuwa nying anaomba msamaha
 
ndugu zangu naendelea kujikaza ,kuna watu wamenishauri ninywe pombe huenda ntapunguza mawazo,

pilli huyu mwanamke nawaza nimblock maana simu kutoka kwake zimezid kuwa nying anaomba msamaha
Pole sana kaka, Kwanz steji uliopo ni ngumu sana sana. Then! si pekeako umefikiaga hatua hio! Ukitaka Hali hio iishe, usinywe pombe kabisa! Lakn nenda viwanja usiku kweny makasino, kwenye pisi Kali sana kuwa nao kweny kampani cheza nao mziki, washike kiuno au popote pale!! Asiwe Dem mmoja wawe wengi wengi!! Zingatia sana hili! Halafu isiwe siku moja jitahd iwe mara kwa mara! Usiwale uwaache just company!! Yaan utapona chap
 
Hivi ndugu yangu unaoa miaka hii upo serious kweli??? Hii miaka ni ya kula na kuacha sahani wengine wakija walie kwenye sahani hiyohiyo sio unapeleka sahani nyumbani
 
Tupo katika dunia ambayo haitaki watu wastaarabu na wenye hofu ya Mungu, imagine demu wako kainamishwa, jamaa kampanua,kadindisha, kavuta pumzi kubwa, kamsukumia ndani halafu akakojoa libao kubwaaa na zito, inaumaaaa uwiiiiiiii aiiiiiii
πŸ˜‚πŸ˜‚ Nyash na Nyash Nyash na Nyash oooh..🎡🎡
 
Usiteseke bure...we chukua mali hiyo weka ndani...usichapiwe we nan
 
Ukikimbia nchi kisa mvua inayesha, utapakimbia kila pahala, maana IT RAINS EVERYWHERE. Ni suala la majira tu.
Ni swala la muda tu ndo jibu sahihi, ila maisha ya sasa ukipata mwanamke akizaa kuwa busy na mwanao tu achana na mambo ya kumfatilia mwanamke maana. Sio kwa kizazi hichi cha leo, akuna mwanamke wa peke yako wqla mwanaume wa peke yako. Jipendi na usimuweke mwanamke akilini. Tafuta pesa furahi maisha yajo na jali watoto narudia watoto
 
...tafuta mnyonge ujimegee, haipunguzi maumivu japo inarudisha hadhi ya kiumee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…