hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16][emoji16][emoji16]tuishi tuEehe kweli wanawake ni viumbe vya ajabuuu...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]tuishi tuEehe kweli wanawake ni viumbe vya ajabuuu...!!
[emoji16][emoji16]Mshkaji anadate na kunguru hajajua tu
Mshauri mwenzako[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
We bado uelewa wako ni mdogo, jifunze kusoma between linesHakili huna wewe chamsingi akaanae chini waongee wataelewana ila unavyosema waachane huo sio ushaur na unaweza kupata mtukicheche wakati mtu sahihi anae
Hapo tunashindwa kumshauri. Mwambie kuwa Hapa duniani kuna njia mbili tunazikimbilia " Njia ya Uhai na maradhi na Njia ya Kufa na kusahaulika" Je yy anataka akimbilie njia gani? Mwambie kua Anawindwa na " Ukoo wa Mashetani na Ukoo wa Malaika" Je anataka kujiunga na familia gani? Nadhani kwa hao atapata majibu sahihi....Mshaurini huyu jamani...
MCHUMBA WANGU ANANISHIRIKISHA KATIKA KILA KITU CHA MAENDELEO ANACHOFANYA!
Mimi ni binti wa miaka 28, sijaolewa ila nina mchumba ambaye yeye ana miaka 30, nampenda sana na yeye anaonyesha kunipenda kwakua kashanitambulisha mpaka kwao na kwetu pia nimeshamtambulisha. Tatizo nikua mpenzi wangu huwa ni muwazi sana, ananishirikisha katika kila kitu chake cha maendeleo anachokifanya na mara nyingi anakua anataka mawazo yangu, akitaka kununua kiwanja, kujenga, akitaka kitu chochote hata kama ni mapazia anataka tufanye pamoja.
Mimi nafanya kazi nayeye pia anafanya kazi, haniombi pesa na wala hajawahi lakini tatizo nikua kwakua ananishirikisha katika mambo yake basi nashindwa kumuomba pesa kubwa kubwa kwaajili ya kufanya mambo yangu kwani kila hela yake najua imeenda wapi? Kwa mfano labda nataka laki mbili ninataka kununua kitu changu labda kutoka na marafiki, nikimumba pesa ananiambia hana si tumenunulia kitu flani, ukiangalia kweli alinunua hicho kitui na alinishirikisha hivyo naona aibu hata kumkasirikia kwani kinakua cha maendeleo na najua pesa yake yote.
Naumia sana kwani mimi kama msichana nahitaji kudekezwa na kufanyiwa suprize za zawadi kama marafiki zangu ambao wanaweza kufanyiwa birthday na wapenzi wao, kutolewa out, kununuliwa nguo na zawadi. Mimi nikihitraji kitu inabidi nimuambie mapema kabla ya mshahaara ili aniweke kwenye bajeti na sanasana atakupa elfu hamsini hata laki hakupi kwani anakua anafanya vitu vingi vya maendeleo ambavyo ananiomba ushauri na ukiangalia anakua kweli hana kwani hata yeye hafanyi hizo starehe.
Kinachoniuma zaidi nikua hawezi kufanya maamuzi yake mwenyewe kama mwanaume ni lazima aniambie na mara nyingi hupenda kufuata ushauri wangu na si wake. Kunipenda kweli ananipenda lakini nina wasiwasi je tukiona itakuaje kwani mara nyingi anasema tukioana itakua vizuri kama tukishirikiana kwenye mambo ya familia eti mshahara wangu nao tufanyie mambo ya maendeleo wakati yeye kama mwanaume anatakiwa kufanya kila kitu, niko njia panda na waza je huyu ni mtu sahihi kwangu au nifanyeje?
Shukran. Tayari nimeshalitambuaCorrection:Malaika
Ni kweli kabisa mkuuDuh naanza kuamin ule msemo atakae muelewa mwanamke anataka nin lzm anakaribia kufa..
[emoji23]Nimevuka comments zote ili nije niandike hiki kitu fasta kumbe wadau mmeshaonaHapa ndo nafika kumuelewa Jokajeusi. Yawezekana ulipokuwa kwenye mahusiano ya awali ulidekezwa.
Jokajeusi anaandika kama masihara lkn kuna ukweli zaidi ya asilimia 75 katika maandishi yake![emoji23]Nimevuka comments zote ili nije niandike hiki kitu fasta kumbe wadau mmeshaona
Na pia anakazi yake inayomuingizia kipatoHuyo binti anashida sehemu mtu anakushirikisha vitu vya maendeleo hupendi[emoji849][emoji849][emoji849]!!!!!!
Kuna viumbe sijui ua vinataka nn ili kuridhika....... AJABUUUU!