Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

Msimuhukum Mwanamke.


Kuna uwezekano kabisa, Jamaa ameamua kutumia hiyo mbinu ili kufunga mwanya wa Demu kumpiga mizinga.

Na mwishi wasiku unaweza kuta Jamaa anoa Dem mwengine.

Kwahiyo demu atajikuta ameliwa kwa mkopo kwa zaidi ya miaka 4[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ila wanaume tuna akili sana[emoji23][emoji23][emoji23].



Haijalishi unafanya mambo gan ya maendeleo, kushirikisha tu haitoshi. Je mwanamke anafaidika nahayo maendeleo anayofanya jamaa???.

Ukizingatia Mwanamke anaishi kwake, anakaz yake, kipi ananufaika nacho zaidi yakuliwa bure???


Nadhan maendeleo hayo yangekua na faida ikiwa tu mwanamke anafaidika nayo pia .

Kwa sasa niseme, dem anapigwa kwa mkopo.



Yeye amchane Laivu.
Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli analiwa kwa mkopo lakini akiweza vumilia mpaka mwisho wa safari huenda akawaolewa na akaanza kuona faida ya huo uwekezaji wa sasa
 
anaehitaji kushauriwa hapa ni huyo jamaa,mwambie hana mchumba kaingia "cha kike"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23]wadada bwana
Yan akiona mwingine anaishi hivyo na yeye atataka hivyo hivyoo haijalishi ki vip na mazingira yapi

Kuna kadada kamoja hivi brother wangu alikaacha
Kenyewe kalimwambia hivi wewe kwanin huvai kama wenzio
Yaan ma cheni cheni na udambwi dambwi mwingii bro akamwambia nikiwa hivyo jua sitokua na wewe
Na siwezi kukupa unayoyahitaji kwakua aina ya kazi yangu sina time ya kua hivyo..
Bla bla nyingi mwisho wakaachana
 
Huyo jamaa bila shaka anatumia mfumo wa 4-4-2 kiufundi huyu mwamba yeye kablock idara zote za kuzuia mpinzan wake kushambulia katika eneo lake anachokifanya yeye ni kumruhusu na kumpa Uhuru mpinzan wake ambae ni huyo mwanamke acheze mchezo adominate kila idara lkn mwamuzi wa mchezo anakuwa ni huyo baharia kuibuka kidedea na Mwanamke anashindwa kupress kwenda mbele Zaid kwa sababu back line ya jamaa ni nguzo jiwe .Hapa kwa wale wazee wa football watanielewa Jose Mourinho Total football kupaki Basi .

Mm nampongeza Sana huyo jamaa kwa kutumia hii formation kuweza kudominate mahusiano kwa kublock intercept zote kutoka kwa bimdada na kuoffer Imani kuwa anafanya mambo ya msingi kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa mwamba



Mabaharia wenzangu eehhh kuna la kujifunza hapaa
 
Wanawake Ni viumbe wa ajabu Sana[emoji4][emoji116]
1871184164.jpg
 
Mshaurini huyu jamani...

MCHUMBA WANGU ANANISHIRIKISHA KATIKA KILA KITU CHA MAENDELEO ANACHOFANYA!

Mimi ni binti wa miaka 28, sijaolewa ila nina mchumba ambaye yeye ana miaka 30, nampenda sana na yeye anaonyesha kunipenda kwakuwa kashanitambulisha mpaka kwao na kwetu pia nimeshamtambulisha. Tatizo ni kuwa mpenzi wangu huwa ni muwazi sana, ananishirikisha katika kila kitu chake cha maendeleo anachokifanya na mara nyingi anakuwa anataka mawazo yangu, akitaka kununua kiwanja, kujenga, akitaka kitu chochote hata kama ni mapazia anataka tufanye pamoja.

Mimi nafanya kazi na yeye pia anafanya kazi, haniombi pesa na wala hajawahi lakini tatizo ni kuwa kwakuwa ananishirikisha katika mambo yake basi nashindwa kumuomba pesa kubwa kubwa kwaajili ya kufanya mambo yangu kwani kila hela yake najua imeenda wapi? Kwa mfano labda nataka laki mbili, ninataka kununua kitu changu labda kutoka na marafiki, nikimuambia pesa ananiambia hana si tumenunulia kitu flani, ukiangalia kweli alinunua hicho kitui na alinishirikisha hivyo naona aibu hata kumkasirikia kwani kinakuwa cha maendeleo na najua pesa yake yote.

Naumia sana kwani mimi kama msichana nahitaji kudekezwa na kufanyiwa suprize za zawadi kama marafiki zangu ambao wanaweza kufanyiwa birthday na wapenzi wao, kutolewa out, kununuliwa nguo na zawadi. Mimi nikihitaji kitu inabidi nimuambie mapema kabla ya mshahara ili aniweke kwenye bajeti na sanasana atakupa elfu hamsini hata laki hakupi kwani anakuwa anafanya vitu vingi vya maendeleo ambavyo ananiomba ushauri na ukiangalia anakuwa kweli hana kwani hata yeye hafanyi hizo starehe.

Kinachoniuma zaidi ni kuwa hawezi kufanya maamuzi yake mwenyewe kama mwanaume ni lazima aniambie na mara nyingi hupenda kufuata ushauri wangu na si wake. Kunipenda kweli ananipenda lakini nina wasiwasi je tukioana itakuaje kwani mara nyingi anasema tukioana itakua vizuri kama tukishirikiana kwenye mambo ya familia eti mshahara wangu nao tufanyie mambo ya maendeleo wakati yeye kama mwanaume anatakiwa kufanya kila kitu, niko njia panda nawaza je huyu ni mtu sahihi kwangu au nifanyeje?
Mshahara wako unataka kuutumia kufanya nini
 
Huyo jamaa bila shaka anatumia mfumo wa 4-4-2 kiufundi huyu mwamba yeye kablock idara zote za kuzuia mpinzan wake kushambulia katika eneo lake anachokifanya yeye ni kumruhusu na kumpa Uhuru mpinzan wake ambae ni huyo mwanamke acheze mchezo adominate kila idara lkn mwamuzi wa mchezo anakuwa ni huyo baharia kuibuka kidedea na Mwanamke anashindwa kupress kwenda mbele Zaid kwa sababu back line ya jamaa ni nguzo jiwe .Hapa kwa wale wazee wa football watanielewa Jose Mourinho Total football kupaki Basi .

Mm nampongeza Sana huyo jamaa kwa kutumia hii formation kuweza kudominate mahusiano kwa kublock intercept zote kutoka kwa bimdada na kuoffer Imani kuwa anafanya mambo ya msingi kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa mwamba



Mabaharia wenzangu eehhh kuna la kujifunza hapaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jamaa kaonyesha Uwezo wa juu sana
 
Natamani huyo mwanaume aje asome huu uzi halafu akupige chini sababu wewe ni mwanamke mzigo. Na siku huyo mwanaume akijichanganya akakuoa huo ndio utakuwa mwisho wa maendeleo yake.

Yaani umenikera sana na hili liuzi lako najutia kulisoma basi tu sina namna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mtu sahihi kwake amuache, mbona wapo wanaume kibao wanaofanya starehe awatafute hao kama ndio anachokitaka.
Huyo wa kufanya maendeleo hamfai

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah!
 
Mshaurini huyu jamani...

MCHUMBA WANGU ANANISHIRIKISHA KATIKA KILA KITU CHA MAENDELEO ANACHOFANYA!

Mimi ni binti wa miaka 28, sijaolewa ila nina mchumba ambaye yeye ana miaka 30, nampenda sana na yeye anaonyesha kunipenda kwakuwa kashanitambulisha mpaka kwao na kwetu pia nimeshamtambulisha. Tatizo ni kuwa mpenzi wangu huwa ni muwazi sana, ananishirikisha katika kila kitu chake cha maendeleo anachokifanya na mara nyingi anakuwa anataka mawazo yangu, akitaka kununua kiwanja, kujenga, akitaka kitu chochote hata kama ni mapazia anataka tufanye pamoja.

Mimi nafanya kazi na yeye pia anafanya kazi, haniombi pesa na wala hajawahi lakini tatizo ni kuwa kwakuwa ananishirikisha katika mambo yake basi nashindwa kumuomba pesa kubwa kubwa kwaajili ya kufanya mambo yangu kwani kila hela yake najua imeenda wapi? Kwa mfano labda nataka laki mbili, ninataka kununua kitu changu labda kutoka na marafiki, nikimuambia pesa ananiambia hana si tumenunulia kitu flani, ukiangalia kweli alinunua hicho kitui na alinishirikisha hivyo naona aibu hata kumkasirikia kwani kinakuwa cha maendeleo na najua pesa yake yote.

Naumia sana kwani mimi kama msichana nahitaji kudekezwa na kufanyiwa suprize za zawadi kama marafiki zangu ambao wanaweza kufanyiwa birthday na wapenzi wao, kutolewa out, kununuliwa nguo na zawadi. Mimi nikihitaji kitu inabidi nimuambie mapema kabla ya mshahara ili aniweke kwenye bajeti na sanasana atakupa elfu hamsini hata laki hakupi kwani anakuwa anafanya vitu vingi vya maendeleo ambavyo ananiomba ushauri na ukiangalia anakuwa kweli hana kwani hata yeye hafanyi hizo starehe.

Kinachoniuma zaidi ni kuwa hawezi kufanya maamuzi yake mwenyewe kama mwanaume ni lazima aniambie na mara nyingi hupenda kufuata ushauri wangu na si wake. Kunipenda kweli ananipenda lakini nina wasiwasi je tukioana itakuaje kwani mara nyingi anasema tukioana itakua vizuri kama tukishirikiana kwenye mambo ya familia eti mshahara wangu nao tufanyie mambo ya maendeleo wakati yeye kama mwanaume anatakiwa kufanya kila kitu, niko njia panda nawaza je huyu ni mtu sahihi kwangu au nifanyeje?
namtafuta aliyesema mwalimu wa mwanamke alikufa
 
Back
Top Bottom