Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

Huyo jamaa hakufai kabisa, tafuta mtu msiri na anayeweza kukutoa out na ku spend...

“kumwelewa mwanamke ni kazi sana”

Mitano tena kwa jamaa
 
Msimuhukum Mwanamke.


Kuna uwezekano kabisa, Jamaa ameamua kutumia hiyo mbinu ili kufunga mwanya wa Demu kumpiga mizinga.

Na mwishi wasiku unaweza kuta Jamaa anoa Dem mwengine.

Kwahiyo demu atajikuta ameliwa kwa mkopo kwa zaidi ya miaka 4[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ila wanaume tuna akili sana[emoji23][emoji23][emoji23].



Haijalishi unafanya mambo gan ya maendeleo, kushirikisha tu haitoshi. Je mwanamke anafaidika nahayo maendeleo anayofanya jamaa???.

Ukizingatia Mwanamke anaishi kwake, anakaz yake, kipi ananufaika nacho zaidi yakuliwa bure???


Nadhan maendeleo hayo yangekua na faida ikiwa tu mwanamke anafaidika nayo pia .

Kwa sasa niseme, dem anapigwa kwa mkopo.



Yeye amchane Laivu.
 
Mimi nadhani huyo dada hastahili kupewa ushauri, anaestahili kupewa ushauri ni huyo "Mwamba" anaetoka na huyu dada!
 
Msimuhukum Mwanamke.


Kuna uwezekano kabisa, Jamaa ameamua kutumia hiyo mbinu ili kufunga mwanya wa Demu kumpiga mizinga.

Na mwishi wasiku unaweza kuta Jamaa anoa Dem mwengine.

Kwahiyo demu atajikuta ameliwa kwa mkopo kwa zaidi ya miaka 4[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ila wanaume tuna akili sana[emoji23][emoji23][emoji23].



Haijalishi unafanya mambo gan ya maendeleo, kushirikisha tu haitoshi. Je mwanamke anafaidika nahayo maendeleo anayofanya jamaa???.

Ukizingatia Mwanamke anaishi kwake, anakaz yake, kipi ananufaika nacho zaidi yakuliwa bure???


Nadhan maendeleo hayo yangekua na faida ikiwa tu mwanamke anafaidika nayo pia .

Kwa sasa niseme, dem anapigwa kwa mkopo.



Yeye amchane Laivu.
Anspigwa kwa mkopo? Kwahiyo unashauri amuuzir sio?
 
Huyo sio mtu sahihi kwake! Ampige chini akatafute mwanaume anayejua kuspend, kumbebisha! Kumtoa out na kila aina ya starehe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nasemaje wanaume design hii tupo ni Yeye tuu na akumbuke 28 years jua lishaanza kupungua makali so kazi kwake
 
Mshaurini huyu jamani...

MCHUMBA WANGU ANANISHIRIKISHA KATIKA KILA KITU CHA MAENDELEO ANACHOFANYA!

Mimi ni binti wa miaka 28, sijaolewa ila nina mchumba ambaye yeye ana miaka 30, nampenda sana na yeye anaonyesha kunipenda kwakuwa kashanitambulisha mpaka kwao na kwetu pia nimeshamtambulisha. Tatizo ni kuwa mpenzi wangu huwa ni muwazi sana, ananishirikisha katika kila kitu chake cha maendeleo anachokifanya na mara nyingi anakuwa anataka mawazo yangu, akitaka kununua kiwanja, kujenga, akitaka kitu chochote hata kama ni mapazia anataka tufanye pamoja.

Mimi nafanya kazi na yeye pia anafanya kazi, haniombi pesa na wala hajawahi lakini tatizo ni kuwa kwakuwa ananishirikisha katika mambo yake basi nashindwa kumuomba pesa kubwa kubwa kwaajili ya kufanya mambo yangu kwani kila hela yake najua imeenda wapi? Kwa mfano labda nataka laki mbili, ninataka kununua kitu changu labda kutoka na marafiki, nikimuambia pesa ananiambia hana si tumenunulia kitu flani, ukiangalia kweli alinunua hicho kitui na alinishirikisha hivyo naona aibu hata kumkasirikia kwani kinakuwa cha maendeleo na najua pesa yake yote.

Naumia sana kwani mimi kama msichana nahitaji kudekezwa na kufanyiwa suprize za zawadi kama marafiki zangu ambao wanaweza kufanyiwa birthday na wapenzi wao, kutolewa out, kununuliwa nguo na zawadi. Mimi nikihitaji kitu inabidi nimuambie mapema kabla ya mshahara ili aniweke kwenye bajeti na sanasana atakupa elfu hamsini hata laki hakupi kwani anakuwa anafanya vitu vingi vya maendeleo ambavyo ananiomba ushauri na ukiangalia anakuwa kweli hana kwani hata yeye hafanyi hizo starehe.

Kinachoniuma zaidi ni kuwa hawezi kufanya maamuzi yake mwenyewe kama mwanaume ni lazima aniambie na mara nyingi hupenda kufuata ushauri wangu na si wake. Kunipenda kweli ananipenda lakini nina wasiwasi je tukioana itakuaje kwani mara nyingi anasema tukioana itakua vizuri kama tukishirikiana kwenye mambo ya familia eti mshahara wangu nao tufanyie mambo ya maendeleo wakati yeye kama mwanaume anatakiwa kufanya kila kitu, niko njia panda nawaza je huyu ni mtu sahihi kwangu au nifanyeje?
Kama kila unalomshauri anatimiza,nshauri awe anakupa hela za matumizi
 
MIMI NILIVYOMUELEWA JAMAA...KAFUNGA MLANGO WA KUOMBWA OMBWA HELA BILA BUDGET...SIO KWAMBA ANAMSHIRIKISHA KILA KITU, HAPANA! NI ILE TU BIBIE AJISHTUKIE MWENYEWE KABLA HAJAOMBA HELA YOYOTE...AKIAMINI WAZI ANAJUA MATUMIZI YOTE YA PESA YA MCHUMBA WAKE...

AACHE TAMAA TU, YEYE SI ANAFANYA KAZI PIA ATUMIE HELA YAKE NA AMSAIDIE MUMEWE MAENDELEO...

JAMAA AMEFANIKIWA SANA KUZUIA VIZINGA...
Hii mbinu kwa awamu hii ya Mitano tena ...naona inafaa Sana
 
Kuna siku mzee mmoja alinikuta mgahawani nakula
Tunafahamiana nae kwasababu alikua na uhitaji kidogo unahousiana na kazi yangu nikamsaidia
Aliketi kishaakaagiza soda mbili moja akanipa kisha yeye akaendelea kunywa yakwake......katika maongezi ongezi akaniambia...
Wewe bado nikijana mdogo sana
Pia hongera kwa kupata kazi yakufanya
Lakini ...utakosea na kupoteza dira yako yote pindi utakapoweka kichwani mwanamke!
Nikamuuliza kwanin ....? Akanijibu....
Wanawake wengi wao hawajielewi kabisa
(Unaweza )kumpata mzuri akachangia maendelea yako kwa kiasi kikubwa mnoo,lakini ni mmja tu kati ya 100
Ila wengi wao hawajui wanachokitaka
Na baadhi yao hawajijui hata wao wenyewe
Kwahyo kwa ushauri wangu pambnia kutimiza ndoto zako zooote au ukiwa umeshafanya kwa 80% ndio uanze kuangalia kwasababu hata ukimpata mjinga kwa hapo ulipofika utaweza kupigana kufikia hapo zaidi
Kuliko kujichanganya leo ikiwa huna chochote atakuja akufukie zaidi...!

Na naona maana ya maneno yake kila mala nikiingia JamiiForums.
 
Back
Top Bottom