Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

Hapo tunashindwa kumshauri. Mwambie kuwa Hapa duniani kuna njia mbili tunazikimbilia " Njia ya Uhai na maradhi na Njia ya Kufa na kusahaulika" Je yy anataka akimbilie njia gani? Mwambie kua Anawindwa na " Ukoo wa Mashetani na Ukoo wa Malaika" Je anataka kujiunga na familia gani? Nadhani kwa hao atapata majibu sahihi....
 
Huyo binti anashida sehemu mtu anakushirikisha vitu vya maendeleo hupendi[emoji849][emoji849][emoji849]!!!!!!

Kuna viumbe sijui ua vinataka nn ili kuridhika....... AJABUUUU!
Na pia anakazi yake inayomuingizia kipato
ila anataka jamaa aache kufanya vitu vya maendeleo waende wakajirushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…