Mchumba wangu anaweza niua. Naona niachane naye tu nimeshindwa mimi

Mchumba wangu anaweza niua. Naona niachane naye tu nimeshindwa mimi

Mnakula vyakula vyenye protini nyingi sana kama mayai,mtindi na nyama nyama ama samaki,jambo la msingi mweleze ukweli kuwa anakukera,jambo jingine ni kuwa anapojamba Huwa hatoi hewa ya ukaa.Tiba yake ni nyepesi Sana njoo inbox kama unampenda mpenzi wako na hupendi kero
 
Week ya 3 hii nakaa naye amehamishiwa kikazi Dar. Maana alikuwa Dodoma. Nikamsaidia arudishwe Dar ili tuwe karibu. Michakato yote nimeifanya mimi kwa pesa zangu. Hatimaye kahamishiwa Dar.

Amekuja amefikia kwangu na tumeanza kufanya mazoezi ya Ndoa. Lakini nashindwa kuvumilia. Mambo kadhaa.

Akienda washroom kujisaidia haja kubwa anatoa harufu kali sana. Yaani chumba mpaka nyumba nzima haitamaniki kabisa. Harufu ambayo haifanani kabisa na yeye. Ni msichana mzuri ana shape nzuri lakini hiyo kitu sielewi hata. Week za mwanzoni nlidhani labda ni vyakula alivyokuwa anakula Dodoma.

Nikahakikisha anakula matunda,mboga za majani n.k but haikufua dafu. Akijamba ( na anapenda sana kufanya hivi anajisikia rahaaa) huwezi kukaa hapo.

Akijisaidia halafu ukafungiwa ndani unaweza kufa. Na ndo wasiwasi wangu kuwa nisije nikafa kwa ile hewa ya ukaa ambayo anatoa. Nlimwambia kama ana tatizo twende hosp alicheka na kusema hamna shida yoyote ni kawaida tu.

Nimemnunulia dawa za minyoo, nimemnunulia dawa za kusafisha tumbo. Yaani nimefikia hatua sielewi. Naona nitakufa tu mimi. Harufu ya choo chake ni kali sana. Hali yangu imeanza kudhoofu. Maana nakosa raha kabisa. Sijui amerogwa? Najiuliza au kuna vitu anakula kwa siri?

Mimi maishani mwangu sipendi nimpe mtu kero wala anipe kero.yaani kwa huyu mchumba tutashindwana kabisa. Hapo bado usiku hajaanza kukoroma....anakoroma masaa yote. Nawaza namna ya kumsaidia sababu nampenda. Sijapata majibu. Naombeni msaada maana nitashindwa mimi. Nitashindwa kabisa.

Nimekuwa sina amani, sina raha mchana wala usiku. Yaani huwa naenjoy tu wakati wa sex maana ni mtamu ana joto balaa na utelezi unakuwepo. Hapo ndo mashallah naenjoy ila baada ya hapo... Sijui nifanyeje.
Ndio matatizo ya kutumia choo cha ndani.
 
Hata mimi kati ya vitu ambavyo sipendi ni harufu mbaya. Hata harufu ya ushuzi wangu tu inanikera ya mtu mwingine ndio nahisi ku suffocate kabisa.

Nikirudi kwako mtoa mada, poop kunuka ni lazima ile ni taka mwili. Hata ya kwako inanuka hivo hivo sema unaweza kuivumilia sababu ni yako.

Akiwa anajisaidia toka huko chumbani kabisa na ajifungie mlango. Akimaliza na akaflash na akanawa na sabuni harufu inaondoka. Au weka choo cha kukaa huwa naona hakitoi harufu mtu akiwa ana poop.
Mm sijui nipo tofauti ngoja ninyamaze [emoji2]
 
Mnakula vyakula vyenye protini nyingi sana kama mayai,mtindi na nyama nyama ama samaki,jambo la msingi mweleze ukweli kuwa anakukera,jambo jingine ni kuwa anapojamba Huwa hatoi hewa ya ukaa.Tiba yake ni nyepesi Sana njoo inbox kama unampenda mpenzi wako na hupendi kero
Kwani ukielezea hapa hapa kuna shida gani?!
 
Week ya 3 hii nakaa naye amehamishiwa kikazi Dar. Maana alikuwa Dodoma. Nikamsaidia arudishwe Dar ili tuwe karibu. Michakato yote nimeifanya mimi kwa pesa zangu. Hatimaye kahamishiwa Dar.

Amekuja amefikia kwangu na tumeanza kufanya mazoezi ya Ndoa. Lakini nashindwa kuvumilia. Mambo kadhaa.

Akienda washroom kujisaidia haja kubwa anatoa harufu kali sana. Yaani chumba mpaka nyumba nzima haitamaniki kabisa. Harufu ambayo haifanani kabisa na yeye. Ni msichana mzuri ana shape nzuri lakini hiyo kitu sielewi hata. Week za mwanzoni nlidhani labda ni vyakula alivyokuwa anakula Dodoma.

Nikahakikisha anakula matunda,mboga za majani n.k but haikufua dafu. Akijamba ( na anapenda sana kufanya hivi anajisikia rahaaa) huwezi kukaa hapo.

Akijisaidia halafu ukafungiwa ndani unaweza kufa. Na ndo wasiwasi wangu kuwa nisije nikafa kwa ile hewa ya ukaa ambayo anatoa. Nlimwambia kama ana tatizo twende hosp alicheka na kusema hamna shida yoyote ni kawaida tu.

Nimemnunulia dawa za minyoo, nimemnunulia dawa za kusafisha tumbo. Yaani nimefikia hatua sielewi. Naona nitakufa tu mimi. Harufu ya choo chake ni kali sana. Hali yangu imeanza kudhoofu. Maana nakosa raha kabisa. Sijui amerogwa? Najiuliza au kuna vitu anakula kwa siri?

Mimi maishani mwangu sipendi nimpe mtu kero wala anipe kero.yaani kwa huyu mchumba tutashindwana kabisa. Hapo bado usiku hajaanza kukoroma....anakoroma masaa yote. Nawaza namna ya kumsaidia sababu nampenda. Sijapata majibu. Naombeni msaada maana nitashindwa mimi. Nitashindwa kabisa.

Nimekuwa sina amani, sina raha mchana wala usiku. Yaani huwa naenjoy tu wakati wa sex maana ni mtamu ana joto balaa na utelezi unakuwepo. Hapo ndo mashallah naenjoy ila baada ya hapo... Sijui nifanyeje.
Mkuu nisaidie no,yake ili nimsaidie tatizo lake,nitumie sasa hivi.
 
Week ya 3 hii nakaa naye amehamishiwa kikazi Dar. Maana alikuwa Dodoma. Nikamsaidia arudishwe Dar ili tuwe karibu. Michakato yote nimeifanya mimi kwa pesa zangu. Hatimaye kahamishiwa Dar.

Amekuja amefikia kwangu na tumeanza kufanya mazoezi ya Ndoa. Lakini nashindwa kuvumilia. Mambo kadhaa.

Akienda washroom kujisaidia haja kubwa anatoa harufu kali sana. Yaani chumba mpaka nyumba nzima haitamaniki kabisa. Harufu ambayo haifanani kabisa na yeye. Ni msichana mzuri ana shape nzuri lakini hiyo kitu sielewi hata. Week za mwanzoni nlidhani labda ni vyakula alivyokuwa anakula Dodoma.

Nikahakikisha anakula matunda,mboga za majani n.k but haikufua dafu. Akijamba ( na anapenda sana kufanya hivi anajisikia rahaaa) huwezi kukaa hapo.

Akijisaidia halafu ukafungiwa ndani unaweza kufa. Na ndo wasiwasi wangu kuwa nisije nikafa kwa ile hewa ya ukaa ambayo anatoa. Nlimwambia kama ana tatizo twende hosp alicheka na kusema hamna shida yoyote ni kawaida tu.

Nimemnunulia dawa za minyoo, nimemnunulia dawa za kusafisha tumbo. Yaani nimefikia hatua sielewi. Naona nitakufa tu mimi. Harufu ya choo chake ni kali sana. Hali yangu imeanza kudhoofu. Maana nakosa raha kabisa. Sijui amerogwa? Najiuliza au kuna vitu anakula kwa siri?

Mimi maishani mwangu sipendi nimpe mtu kero wala anipe kero.yaani kwa huyu mchumba tutashindwana kabisa. Hapo bado usiku hajaanza kukoroma....anakoroma masaa yote. Nawaza namna ya kumsaidia sababu nampenda. Sijapata majibu. Naombeni msaada maana nitashindwa mimi. Nitashindwa kabisa.

Nimekuwa sina amani, sina raha mchana wala usiku. Yaani huwa naenjoy tu wakati wa sex maana ni mtamu ana joto balaa na utelezi unakuwepo. Hapo ndo mashallah naenjoy ila baada ya hapo... Sijui nifanyeje.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ninayo dawa ya mafuta ,analamba kidogo ataharisha wastani na kujamba mfulilizo ,inasafisha tumbo then atakuwa kawaida kama tutaelewana nikutumie,hata kama tumbo linajaa gesi kiasi Gani itakwisha na hata kama anatatizo kama ulilosema inakwisha pia
 
Ninayo dawa ya mafuta ,analamba kidogo ataharisha wastani na kujamba mfulilizo ,inasafisha tumbo then atakuwa kawaida kama tutaelewana nikutumie,hata kama tumbo linajaa gesi kiasi Gani itakwisha na hata kama anatatizo kama ulilosema inakwisha pia
Nitumie inbox please.
 
Awe anameza punje Moja ya kitunguu swahumu asubuhi kabla hajala chochote.

Hii itakata harufu yoyote mbaya na kumsaidia kuimarisha Kinga ya mwili.

Lakini pia hii ni kiua sumu na hutubu matatizo yoyote ya fangasi, bacteria katika njia ya haja kubwa.

Aache kula kitimoto kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom