Ndio matatizo ya kutumia choo cha ndani.Week ya 3 hii nakaa naye amehamishiwa kikazi Dar. Maana alikuwa Dodoma. Nikamsaidia arudishwe Dar ili tuwe karibu. Michakato yote nimeifanya mimi kwa pesa zangu. Hatimaye kahamishiwa Dar.
Amekuja amefikia kwangu na tumeanza kufanya mazoezi ya Ndoa. Lakini nashindwa kuvumilia. Mambo kadhaa.
Akienda washroom kujisaidia haja kubwa anatoa harufu kali sana. Yaani chumba mpaka nyumba nzima haitamaniki kabisa. Harufu ambayo haifanani kabisa na yeye. Ni msichana mzuri ana shape nzuri lakini hiyo kitu sielewi hata. Week za mwanzoni nlidhani labda ni vyakula alivyokuwa anakula Dodoma.
Nikahakikisha anakula matunda,mboga za majani n.k but haikufua dafu. Akijamba ( na anapenda sana kufanya hivi anajisikia rahaaa) huwezi kukaa hapo.
Akijisaidia halafu ukafungiwa ndani unaweza kufa. Na ndo wasiwasi wangu kuwa nisije nikafa kwa ile hewa ya ukaa ambayo anatoa. Nlimwambia kama ana tatizo twende hosp alicheka na kusema hamna shida yoyote ni kawaida tu.
Nimemnunulia dawa za minyoo, nimemnunulia dawa za kusafisha tumbo. Yaani nimefikia hatua sielewi. Naona nitakufa tu mimi. Harufu ya choo chake ni kali sana. Hali yangu imeanza kudhoofu. Maana nakosa raha kabisa. Sijui amerogwa? Najiuliza au kuna vitu anakula kwa siri?
Mimi maishani mwangu sipendi nimpe mtu kero wala anipe kero.yaani kwa huyu mchumba tutashindwana kabisa. Hapo bado usiku hajaanza kukoroma....anakoroma masaa yote. Nawaza namna ya kumsaidia sababu nampenda. Sijapata majibu. Naombeni msaada maana nitashindwa mimi. Nitashindwa kabisa.
Nimekuwa sina amani, sina raha mchana wala usiku. Yaani huwa naenjoy tu wakati wa sex maana ni mtamu ana joto balaa na utelezi unakuwepo. Hapo ndo mashallah naenjoy ila baada ya hapo... Sijui nifanyeje.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Umeanza tena.tulipumzika Kwa muda kidogo.karibu tena mkuu
Mm sijui nipo tofauti ngoja ninyamaze [emoji2]Hata mimi kati ya vitu ambavyo sipendi ni harufu mbaya. Hata harufu ya ushuzi wangu tu inanikera ya mtu mwingine ndio nahisi ku suffocate kabisa.
Nikirudi kwako mtoa mada, poop kunuka ni lazima ile ni taka mwili. Hata ya kwako inanuka hivo hivo sema unaweza kuivumilia sababu ni yako.
Akiwa anajisaidia toka huko chumbani kabisa na ajifungie mlango. Akimaliza na akaflash na akanawa na sabuni harufu inaondoka. Au weka choo cha kukaa huwa naona hakitoi harufu mtu akiwa ana poop.
Kwani ukielezea hapa hapa kuna shida gani?!Mnakula vyakula vyenye protini nyingi sana kama mayai,mtindi na nyama nyama ama samaki,jambo la msingi mweleze ukweli kuwa anakukera,jambo jingine ni kuwa anapojamba Huwa hatoi hewa ya ukaa.Tiba yake ni nyepesi Sana njoo inbox kama unampenda mpenzi wako na hupendi kero
Mkuu nisaidie no,yake ili nimsaidie tatizo lake,nitumie sasa hivi.Week ya 3 hii nakaa naye amehamishiwa kikazi Dar. Maana alikuwa Dodoma. Nikamsaidia arudishwe Dar ili tuwe karibu. Michakato yote nimeifanya mimi kwa pesa zangu. Hatimaye kahamishiwa Dar.
Amekuja amefikia kwangu na tumeanza kufanya mazoezi ya Ndoa. Lakini nashindwa kuvumilia. Mambo kadhaa.
Akienda washroom kujisaidia haja kubwa anatoa harufu kali sana. Yaani chumba mpaka nyumba nzima haitamaniki kabisa. Harufu ambayo haifanani kabisa na yeye. Ni msichana mzuri ana shape nzuri lakini hiyo kitu sielewi hata. Week za mwanzoni nlidhani labda ni vyakula alivyokuwa anakula Dodoma.
Nikahakikisha anakula matunda,mboga za majani n.k but haikufua dafu. Akijamba ( na anapenda sana kufanya hivi anajisikia rahaaa) huwezi kukaa hapo.
Akijisaidia halafu ukafungiwa ndani unaweza kufa. Na ndo wasiwasi wangu kuwa nisije nikafa kwa ile hewa ya ukaa ambayo anatoa. Nlimwambia kama ana tatizo twende hosp alicheka na kusema hamna shida yoyote ni kawaida tu.
Nimemnunulia dawa za minyoo, nimemnunulia dawa za kusafisha tumbo. Yaani nimefikia hatua sielewi. Naona nitakufa tu mimi. Harufu ya choo chake ni kali sana. Hali yangu imeanza kudhoofu. Maana nakosa raha kabisa. Sijui amerogwa? Najiuliza au kuna vitu anakula kwa siri?
Mimi maishani mwangu sipendi nimpe mtu kero wala anipe kero.yaani kwa huyu mchumba tutashindwana kabisa. Hapo bado usiku hajaanza kukoroma....anakoroma masaa yote. Nawaza namna ya kumsaidia sababu nampenda. Sijapata majibu. Naombeni msaada maana nitashindwa mimi. Nitashindwa kabisa.
Nimekuwa sina amani, sina raha mchana wala usiku. Yaani huwa naenjoy tu wakati wa sex maana ni mtamu ana joto balaa na utelezi unakuwepo. Hapo ndo mashallah naenjoy ila baada ya hapo... Sijui nifanyeje.
Pungas sasa wajiandae virungu unavyo warushiagaHa ha ha... Kwani mimi huwa nafanyaje ndugu yangu....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Week ya 3 hii nakaa naye amehamishiwa kikazi Dar. Maana alikuwa Dodoma. Nikamsaidia arudishwe Dar ili tuwe karibu. Michakato yote nimeifanya mimi kwa pesa zangu. Hatimaye kahamishiwa Dar.
Amekuja amefikia kwangu na tumeanza kufanya mazoezi ya Ndoa. Lakini nashindwa kuvumilia. Mambo kadhaa.
Akienda washroom kujisaidia haja kubwa anatoa harufu kali sana. Yaani chumba mpaka nyumba nzima haitamaniki kabisa. Harufu ambayo haifanani kabisa na yeye. Ni msichana mzuri ana shape nzuri lakini hiyo kitu sielewi hata. Week za mwanzoni nlidhani labda ni vyakula alivyokuwa anakula Dodoma.
Nikahakikisha anakula matunda,mboga za majani n.k but haikufua dafu. Akijamba ( na anapenda sana kufanya hivi anajisikia rahaaa) huwezi kukaa hapo.
Akijisaidia halafu ukafungiwa ndani unaweza kufa. Na ndo wasiwasi wangu kuwa nisije nikafa kwa ile hewa ya ukaa ambayo anatoa. Nlimwambia kama ana tatizo twende hosp alicheka na kusema hamna shida yoyote ni kawaida tu.
Nimemnunulia dawa za minyoo, nimemnunulia dawa za kusafisha tumbo. Yaani nimefikia hatua sielewi. Naona nitakufa tu mimi. Harufu ya choo chake ni kali sana. Hali yangu imeanza kudhoofu. Maana nakosa raha kabisa. Sijui amerogwa? Najiuliza au kuna vitu anakula kwa siri?
Mimi maishani mwangu sipendi nimpe mtu kero wala anipe kero.yaani kwa huyu mchumba tutashindwana kabisa. Hapo bado usiku hajaanza kukoroma....anakoroma masaa yote. Nawaza namna ya kumsaidia sababu nampenda. Sijapata majibu. Naombeni msaada maana nitashindwa mimi. Nitashindwa kabisa.
Nimekuwa sina amani, sina raha mchana wala usiku. Yaani huwa naenjoy tu wakati wa sex maana ni mtamu ana joto balaa na utelezi unakuwepo. Hapo ndo mashallah naenjoy ila baada ya hapo... Sijui nifanyeje.
Choo cha nje ni shida ndugu yangu hicho siwezi pendelea kabisa maana nacho ni usumbufu ukitaka amka kujihudumia.Ndio matatizo ya kutumia choo cha ndani.
Ushawahi nawe kuwa na hili tatizo?ulifanyaje?Mkuu nisaidie no,yake ili nimsaidie tatizo lake,nitumie sasa hivi.
Hao jamaa nawachukia sana najua nao wananichukia. Mods wanasema nawadhalilisha. But to hell hao mi nitawadhalilisha milele sitowa stahi hata kidogo.Pungas sasa wajiandae virungu unavyo warushiaga
Nitumie inbox please.Ninayo dawa ya mafuta ,analamba kidogo ataharisha wastani na kujamba mfulilizo ,inasafisha tumbo then atakuwa kawaida kama tutaelewana nikutumie,hata kama tumbo linajaa gesi kiasi Gani itakwisha na hata kama anatatizo kama ulilosema inakwisha pia
Mi kama ni nyumba yangu hata kama choo cha ndani lazima kiwe mbali kidogo siyo unaamka tu unafungua mlango wa chooniChoo cha nje ni shida ndugu yangu hicho siwezi pendelea kabisa maana nacho ni usumbufu ukitaka amka kujihudumia.