Comrade Mushi
Member
- Feb 25, 2023
- 5
- 7
Kisa cha Wakili Farah Maalim Mohammed na kielelezo cha makuu ya Tanzania.
#Zimesambaa video za Naibu Spika wa zamani wa Bunge la Kenya na Mbunge wa sasa wa jimbo la Dabaab Nchini Kenya Mh. wakili msomi na mchumi mwandamizi Faraah Maalim Mohamed akieleza Threat ya kiuchumi Tanzania wanaiweka katika ukanda huu wa maziwa makuu.
Faraah akihojiwa na kituo cha Citizen nchini Kenya mapema jana anaonyesha na kutufundisha mambo yafuatayo kwa ufupi.
1. Ukuaji wa uchumi wa Tanzania upo katika speed ya kushtusha katika kipindi cha miaka michache iliyopita hadi sasa kiasi ambacho si tu ni kama "alarming pace'' ila ni somo kwa mataifa jirani
2. Uwiano wa ufanyaji biashara baina ya nchi ya Tanzania na nchi za nje na zaidi zaidi Kati ya Kenya na Tanzania (trade balance) imekua kwa kiasi ambacho si tu kinashangaza, bali kinatoa nafasi kubwa ya kujifunza on what has really really happened!
Trade balance kati ya Kenya na Tanzania miaka kadhaa nyuma ilikua ni Kenya iki export zaidi kuja TZ kuliko importing kutoka Tanzania kitu ambacho kwa sasa ni completely tofuati kiasi ambacho hata wasomi wao wa uchumi hawaelewi how in the lighting speed Tanzania would've change the odds!
Je, haya yote ni bahati mbaya?
Tangu enzi za wachumi aina ya Adam Smith, Karl Marx an wengine ni kwamba it's an acceptable norm kwamba , Katika uchumi hakuna the so called BAHATI MBAYA ni lazima kuwe na efforts za makusudi ambazo zimefanywa kufanya kila kitu like how it seems to be. Hii ina maana kwamba haya tunayoyaona leo kama mageuzi ni lazima kuna efforts na utaalamu wa kiuchumi ambao unafanya haya yawe hivi. Hapa ndo smart moves behind 4Rs za Mheshimiwa Rais wa sasa Dkt. Samia Suluhu Hassan zinapokuja kupata mantiki. Niskiize;
Kuna 4Rs ambazo awamu ya sita chini ya Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inazitekeleza kisera ndo msingi wa mengi tunayoyaona na kuyaita mageuzi. Reforms kama sehemu ya falsafa za 4Rs inebeba sehemu kubwa ya maono ya Mama katika awamu hii na ndio haswaa imepelekea mageuzi mengi ya sera na sheria zetu katika ufanyaji biashara, uwekezaji na zaidi katika namna tunavyohusiana na wenzetu kwa maana mageuzi katika diplomasia yetu.
Utekelezaji wa mageuzi haya katika mfumo wa kisera na kikodi ,sambamba ba uimara wa timu za usimamizi kuanzia ngazi ya juu, ngazi ya wizara ,idara na hata watendaji wa chini ndo matokeo ya mengi tunayoyaona leo. Wizara ya Fedha kwa mfano kama msimamizi mama wa sera zetu za fedha na uchumi (Fiscal and Monetary policy) kuna namna imefanywa kazi katika level ambayo labda tunaiona kwa picha ndogo than how it's really looking. Niskiize tena hapa.
1. Uchumi ni namba na namba hazidanganyi wal hazijifichi. Ukiwa na utekelezaji chanya wa sera na mipango yako lazima positive impact katika ukuaji wa uchumi wako itaonekana. Leo wakati Dunia nzima ikiwa katika dilemma ya kiuchumi baada ya athari za COVID-19 na vita ya Ukraine, Benki ya Dunia katika Economic Updates yake ya 2023 inaitaja Tanzania kama Nchi yenye makadirio ya ukuaji mkubwa wa uchumi kwa mwaka ujao kuliko nchi zote za kusini mwa jangwa la Sahara. Ni bahati mbaya ? NO
2. Baada ya miaka kibao ya uwiano usio sawa wa kibiashara kati ya Tanzania na Kenya, leo wachumi waandamizi wa Kenya wanakiri kwamba Tanzania sasa ni tishio na ukuaji wake ni wa kutisha
3. Business Insider kama jarida kubwa kabisa la masuala ya uchumi na biashara linaitaja Tanzania kuwa tishio jingine la kiuchumi kwa ukanda wa Africa. Ni bahati mbaya pia? No.
Kama ilivyo desturi yetu, Watanzania huwa na kasumba ya kujichukulia poa. Mara nyingi huwa ni wazito kuziona hatua tunazopiga na tukiziona hatuzipi uzito but kama kuna nyakati kama taifa tunapita kipindi cha kujivunia ni sasa. Ukuaji wa uchumi wetu katika angle ya kitaalamu unatoa a picha that is worth cherishing.
#Zimesambaa video za Naibu Spika wa zamani wa Bunge la Kenya na Mbunge wa sasa wa jimbo la Dabaab Nchini Kenya Mh. wakili msomi na mchumi mwandamizi Faraah Maalim Mohamed akieleza Threat ya kiuchumi Tanzania wanaiweka katika ukanda huu wa maziwa makuu.
Faraah akihojiwa na kituo cha Citizen nchini Kenya mapema jana anaonyesha na kutufundisha mambo yafuatayo kwa ufupi.
1. Ukuaji wa uchumi wa Tanzania upo katika speed ya kushtusha katika kipindi cha miaka michache iliyopita hadi sasa kiasi ambacho si tu ni kama "alarming pace'' ila ni somo kwa mataifa jirani
2. Uwiano wa ufanyaji biashara baina ya nchi ya Tanzania na nchi za nje na zaidi zaidi Kati ya Kenya na Tanzania (trade balance) imekua kwa kiasi ambacho si tu kinashangaza, bali kinatoa nafasi kubwa ya kujifunza on what has really really happened!
Trade balance kati ya Kenya na Tanzania miaka kadhaa nyuma ilikua ni Kenya iki export zaidi kuja TZ kuliko importing kutoka Tanzania kitu ambacho kwa sasa ni completely tofuati kiasi ambacho hata wasomi wao wa uchumi hawaelewi how in the lighting speed Tanzania would've change the odds!
Je, haya yote ni bahati mbaya?
Tangu enzi za wachumi aina ya Adam Smith, Karl Marx an wengine ni kwamba it's an acceptable norm kwamba , Katika uchumi hakuna the so called BAHATI MBAYA ni lazima kuwe na efforts za makusudi ambazo zimefanywa kufanya kila kitu like how it seems to be. Hii ina maana kwamba haya tunayoyaona leo kama mageuzi ni lazima kuna efforts na utaalamu wa kiuchumi ambao unafanya haya yawe hivi. Hapa ndo smart moves behind 4Rs za Mheshimiwa Rais wa sasa Dkt. Samia Suluhu Hassan zinapokuja kupata mantiki. Niskiize;
Kuna 4Rs ambazo awamu ya sita chini ya Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inazitekeleza kisera ndo msingi wa mengi tunayoyaona na kuyaita mageuzi. Reforms kama sehemu ya falsafa za 4Rs inebeba sehemu kubwa ya maono ya Mama katika awamu hii na ndio haswaa imepelekea mageuzi mengi ya sera na sheria zetu katika ufanyaji biashara, uwekezaji na zaidi katika namna tunavyohusiana na wenzetu kwa maana mageuzi katika diplomasia yetu.
Utekelezaji wa mageuzi haya katika mfumo wa kisera na kikodi ,sambamba ba uimara wa timu za usimamizi kuanzia ngazi ya juu, ngazi ya wizara ,idara na hata watendaji wa chini ndo matokeo ya mengi tunayoyaona leo. Wizara ya Fedha kwa mfano kama msimamizi mama wa sera zetu za fedha na uchumi (Fiscal and Monetary policy) kuna namna imefanywa kazi katika level ambayo labda tunaiona kwa picha ndogo than how it's really looking. Niskiize tena hapa.
1. Uchumi ni namba na namba hazidanganyi wal hazijifichi. Ukiwa na utekelezaji chanya wa sera na mipango yako lazima positive impact katika ukuaji wa uchumi wako itaonekana. Leo wakati Dunia nzima ikiwa katika dilemma ya kiuchumi baada ya athari za COVID-19 na vita ya Ukraine, Benki ya Dunia katika Economic Updates yake ya 2023 inaitaja Tanzania kama Nchi yenye makadirio ya ukuaji mkubwa wa uchumi kwa mwaka ujao kuliko nchi zote za kusini mwa jangwa la Sahara. Ni bahati mbaya ? NO
2. Baada ya miaka kibao ya uwiano usio sawa wa kibiashara kati ya Tanzania na Kenya, leo wachumi waandamizi wa Kenya wanakiri kwamba Tanzania sasa ni tishio na ukuaji wake ni wa kutisha
3. Business Insider kama jarida kubwa kabisa la masuala ya uchumi na biashara linaitaja Tanzania kuwa tishio jingine la kiuchumi kwa ukanda wa Africa. Ni bahati mbaya pia? No.
Kama ilivyo desturi yetu, Watanzania huwa na kasumba ya kujichukulia poa. Mara nyingi huwa ni wazito kuziona hatua tunazopiga na tukiziona hatuzipi uzito but kama kuna nyakati kama taifa tunapita kipindi cha kujivunia ni sasa. Ukuaji wa uchumi wetu katika angle ya kitaalamu unatoa a picha that is worth cherishing.