Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo poropesa mwigu,mimi nilijiuliza mtu anayechora jina lake kwenye mawe anaweza kuwa waziri wa fedha compitent kweli?[emoji28][emoji125]
Projects za kuwapa vijana mashamba zikifikia climax na bwawa la umeme na sgr vikaisha,kila mtu Africa mashariki na kati atataka kuja tz
Mnatumia nguvu nyingi kutuamnisha hawa waizi kwamba wachapa kazi,na huyo anayeongea hapo juu kwemye video mmemnunua tu aje kuongea ujinga wake.
Uchumi gani umekuwa kwa kasi hapa Tanzania?
Kweli mkuuu na hawa unaowaona wanafanya uchawa humu mara samia anaupiga mwingi,Mara mwiguru ni jembe mama hajakosea wote hawana kazi.
Mtu hauwezi kuwa na kazi ya kufanya ukapata Muda wa kuwa chawa,Unatembea na mtu matakoni.
Sasa huo uchumi umekuaje na machawa wanashindana wingi na Mashoga?
Viwanda,vinyozi nk, wanashinda bila kufanya KAZI umeme hamna,
Uchumi unakuaje bila umeme wa uhakika?
Uchumi unakuwa Huku tunakopa ili serikali iweze kulipa madeni ya Hatifungani? Basi itakuwa uchumi tafakari yake ni ngumi kuelewa kama ilivyo ngumi kuelewa Neno la Mungu ambalo linahitaji jicho la roho
Wee Madelu kila saa kujisifia huchoki
Uchumi unakua lakini Kodi haikusanywi,
Inabidi ichukue MKOPO mpya tri 5, kulipa deni la MKOPO wa nyuma!!
Uongo una mwisho, tumekaribia mwisho.
Waziri wa nishati ndugu yetu ni nani huyo?Kwani yeye ni Waziri wa nishati si yupo ndugu yenu mulizeni