Mchungaji akitoa Mapepo kwa staili ya kipekee

Mchungaji akitoa Mapepo kwa staili ya kipekee

Mungu hayupo ndo maana watu wanachezea tu dini inakua for show, for business

Mnaoteseka ni nyie mnaoamini hizo hadithi za eti kuna mungu

Nimekumbuka TB Joshua alivokua anazaba watu vibao[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ya kuzaba vibao nitaitumia nikifungua kanisa langu , nimeipenda sana.
 
People so called "waumini" wamekuwa wapumbavu,wavivu wa kufikiri bongo zao zimejaa takataka.

Ona hawa hapa chini nao usiku wa 31 Dec 2023 wakivuka kuingia mwaka mpya 2024 kupitia uvungu wa miguu sijui niseme ya nabii wao kuhani wao au mtume wao ita utakavyoita
 
Back
Top Bottom