The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Hahah hii nayo mpya anahamisha nguvu za kiume 😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah hii nayo mpya anahamisha nguvu za kiume 😂😂😂😂
Kwa hio tusicheke hivi vituko bya karne ?Kuna waislam na wakristo humu nao watajifanya kucheka na kushangaa wakati vioja vyao nao huko waliko ni vya kuchekesha mtu anasafiri hadi asia kubusu jiwe na kumpiga shetani mawe
Mambo ya kipumbavu sanaWachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690
Wachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wameteka akili za Wana wake tu,hakuna mapepo hapo.Kinachofuata hapo ni kukusanya pesa na kufunga ibada.Wachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690
Wacha weeeeee 😀😃😄😁😆😅Kuna uzi Mwembamba sana kati ya ulokole na ukichaa.
Hii ni zaidi ya kichekesho.....watu wamekuwa wajinga Kwa kiwango cha kuzidi SGR🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kubabekii...
Inashangaza sana..Hii ni zaidi ya kichekesho.....watu wamekuwa wajinga Kwa kiwango cha kuzidi SGR
Achana na vibao mkuu. Tandika viboko ili akili ziwakae sawa 😁😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ya kuzaba vibao nitaitumia nikifungua kanisa langu , nimeipenda sana.
Ujinga uliopitiliza.
Ukishajijenga kwenye misingi ya imani huna haki ya kumhukumu mwamba.Ujinga uliopitiliza.
HUYO PEPO aliwezaje KUPITA kote KUANZIA GETINI HADI NDANI YA NYUMBA YA IBADA? PEPO anawezaje KUINGIA KWENYE NYUMBA YA IBADA ILIYO na upako YA JINA LA YESU.?Wachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690
Ila cameramen wako ngangariWachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690
Uwepo wa Mungu sio lazima watu wote wawe watakatifu,ndo maana kila mtu ana akili zake.Yanayotokea ni matokeo ya uhuru wa kufikiri ambao Mungu aliwawekea viumbe hai.Ndo maana wakati hao wanafanya hivyo kuna ambao wanawaza jinsi gani yakuvumbua vifaa tiba na mambo mengine yakutumia akili kwa manufaa.Mungu hayupo ndo maana watu wanachezea tu dini inakua for show, for business
Mnaoteseka ni nyie mnaoamini hizo hadithi za eti kuna mungu
Nimekumbuka TB Joshua alivokua anazaba watu vibao[emoji1787]
Ushuzi mtupuWachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690