[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ya kuzaba vibao nitaitumia nikifungua kanisa langu , nimeipenda sana.Mungu hayupo ndo maana watu wanachezea tu dini inakua for show, for business
Mnaoteseka ni nyie mnaoamini hizo hadithi za eti kuna mungu
Nimekumbuka TB Joshua alivokua anazaba watu vibao[emoji1787]
Alikua anaslap watu mpaka kuna muda youtube channel yake ikawa suspended🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ya kuzaba vibao nitaitumia nikifungua kanisa langu , nimeipenda sana.
🤣🤣🤣Alikua anaslap watu mpaka kuna muda youtube channel yake ikawa suspended🤣
mwamba sana yule jamaa
Dini haina vituko wala mashaka vituko wanavyo baadhi ya waumini wa hiyo dini wasiojitambua.Hii dini ina vituko sana
Hutumii maji na mafuta? Wewe ni jini au binadamu?Siwezi kwenda huko, Yaani hata maji na mafuta situmii😂😂😂
Huku mapepo yanatokewa na misso misondo, kule papa anabariki mashoga.Dini haina vituko wala mashaka vituko wanavyo baadhi ya waumini wa hiyo dini wasiojitambua.
🤣🤣🤣🤣Wachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690
Shida nini?Wachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690
Daaah tutafika mbinguni tumechoka sanaWachungaji wamekuwa na staili tofauti za kutoa mapepo kwa waumini wenye shida mbalimbali.
ANGALIA HAPA JINSI MCHUNGAJI ANAVYOTOA MAPEPO KWA WAUMINI.
View attachment 2868690
👏👏Dini haina vituko wala mashaka vituko wanavyo baadhi ya waumini wa hiyo dini wasiojitambua.
🤣🤣🤣🤣People so called "waumini" wamekuwa wapumbavu,wavivu wa kufikiri bongo zao zimejaa takataka.
Hawa hapa chini usiku wa 31 Dec 2023 wakivuka mwaka mpya 2024 kupitia uvungu sijui niseme wa nabii wao kuhani wao au mtume wao ita utakavyoita
View attachment 2868741
Wamedanganywa na nani wampe pesa!!..Kuna waislam na wakristo humu nao watajifanya kucheka na kushangaa wakati vioja vyao nao huko waliko ni vya kuchekesha mtu anasafiri hadi asia kubusu jiwe na kumpiga shetani mawe
Tunapeleka fungu la kumi tu. Sasa tupeleke wapi?Baadhi ya makanisa siku hizi yamekuwa kama ze comedy show, cha ajabu sasa watu hawaachi kwenda tena kwa wingi.